Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Angalia prediction ya Savage, jamaa alisema tutashika nafasi ya 5. City, Liverpool na Chelsea wangetufunga na Spurs wangepata draw
 

Attachments

  • 1428866432131.jpg
    54.2 KB · Views: 159
Nilisema hapa, game kubwa kwetu ni ushindi tu, akaja rubaman na drama zake ati tukipata points nyingi ni 1.
Leo tumechukua 3 next week tunaongeza zingine kama za leo maana najua MOU jicho limemtoka pima.

Ndoto zimeanza sasa, hakuna ambaye hakuona leo manu ikishinda! umeona rekodi ya mancity ya hivi karibuni? ni horrible. Mmecheza vizuri, ila ukweli ni kwamba timu zilizo juu yenu ni ziko bora zaidi, pia kuna machinjioni Selhurst park.
 
Last edited by a moderator:
Kaka tusiongelee pembeni!Kwa striker Drogba anakufunga Man U easy kabisa

Kiwango chemu mechi hizi 3 mfululizo ni cha kuangaliwa kwa jicho la 3


Tulikwenda OT na striker Drogba na akafunga goli zuri kabisa au umesahau?
 
Mnadhani mtapangiwa kikosi kile cha kombe la TFF ya England. Karibuni sana OT ndio mtajua Man U nyakati kama hizi anakuaje.

Watu mnapenda vibaya hadi mnasahau kuku na bata wote ni ndege. Kikosi mlichocheza na sisi tukawatungua kilikuwa hiki(first 11)
DDG,Shaw, Rojo, Smalling, Valencia,ADM, Blind, Young, Herrera, Fellaini, Rooney ( Januzaj, Carrick, Jones waliingia kama Sub )

na kikosi kilichocheza leo vs Citey, na vs Spurs, na vs Liver, vs Aston Villa ni hiki( first 11)

De Gea, Valencia, Jones, Smalling, Blind, Carrick, Mata, Herrera, Fellaini, Young, Rooney.

Key: kwenye Green ni wachezaji ambao hawakucheza from first 11 na waliokosekana kabisa katika mechi zilizotajwa.
sasa nashindwa kuelewa unasema mtapanga kikosi gani kingine tofauti na tunachokijua. Ukiangalia ile mechi aliyekosekana kuingia dimbani alikuwa ni Mata peke yake mechi nzima. Hata hivyo alikuwa benchini kwa hiyo technically tuliwapiga na Mata na Fellaini wenu mnaowashabikia sana kipindi hiki kuliko msimu uliopita. Anyway, May 17th tutawapiga ubaya na hiki kikosi mnapatia ushindi wa kindondokela tuwakate ngebe then mje na kisingizio kingine.
 
rubaman

Shetani mnyonya damu.......wiki ijayo zamu ya pale darajani....baada ya hapo nikishacheza na hawa wengine.

Zamu yenu wapiga mishale Pale pale nilipokupiga zile wiki na jumatatu moja
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…