Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ninamshukuru Mungu sana kwa kunichagulia Man Utd iwe ni timu yangu

Yaani ni furaha tuu kila siku

#ChelseaFans tunakuja kugonga mlango wenu soon... jitayarisheni kufungua

Mkuu kila siku namshukuru Mungu kwa kunipa bahati hii ya kuwa mmoja katika Utukufu huu wa OT. Sijui kama bado ningekuwa hai mpaka muda huu kwa timu kama Liverpool, Arsenal au Man City.
 
CCaB3xKWIAAe9j0.jpg


CCaD1APW4AIH0Le.jpg


CCaCFUfWgAEHsad.jpg


CCaE6EjWEAATrMF.jpg


CCaE504WIAEzaDy.jpg


CCaEyujWYAEYXI2.png


CCaEhStWMAANzcW.jpg


CCaEJbBWIAEY0fp.png


CCaEHZBWgAAZkiD.png


CCaDe0cW4AAWPCq.jpg


CCZ9XHBXIAA63ak.jpg


CCZ_pbAUMAA2PIL.jpg


CCaDv8nWEAAvv13.jpg


CCaDOokWEAAU3Ey.jpg


CCaC5RVWgAAaV5e.png


CCaC5e8WMAA9e55.png


CCaB_NDW4AIuvpR.jpg


CCaAgr5W0AAN930.jpg
 
Without a shadow of Doubt as an Arsenal Supporter Nasema MMEDESERVE kuwapiga City leo

Muendelee hivyo hivyo Munipigie na CHELSEA next weekend

alafu tukikutana muache tuwafunge....hahahahaha

Big up wote humu kwa kumfukuzisha Pellegrini kazi Rasmi leo
 
Leo ni siku nzuri sana kulipa goli 6 lakini tunapoteza nafasi nyingi sana

Mkuu LVG asingemtoa Fellain na Matta leo kisasi kilikuwa kinalipwa. Toure amecheza mpira baada ya Fellain kutoka na hatimaye kuchangia bao la pili.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kwa mara ya kwanza msimu huu Chelsea anaingia kucheza na Man U akiwa ni "under dogs"!Man U wapo vyema zaidi ya Chelsea

Yeah kwa current form ya Man Utd wapo juu ya Chelsea, na wachezaji wana confidence sana kitu kinachofanya kumfanya mtu aseme Utd wana nafasi kubwa ya kushinda
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom