Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
umeongea kweli msimu huu katika mechi 19 za nyumbani tayari chelsea ameshinda mechi 12 , draw 3 and amebakiza mechi 4 kucheza. Sana sana man u wataambua sare.
Nimefurahi sn kwa haya matokeo kwasababu ManU km wangefungwa mchezo wetu ungekua mgumu sn. Lkn wanakuja darajani wakiwa wanajiamini vya kutosha..na huu mchezo utakua ni vita vya mbinu bora na ufundi kwa makocha.