Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mourinho anasema anapenda kucheza big game ata wachezaji wake wanapenda sn....

Jiandaeni na shughuli nzito

Ningekuwa mimi ni Malafyale ningesema Hata nyie sasa mnaogopa kucheza na Mashetani Wekundu

Kwa mpira niliona leo .. striker babu Drogba... tutatafutiana tuu lawama humu kwenye jamvi siku hiyo
 
Last edited by a moderator:
Ushindi wa 6 mfululizo ambapo tumewapiga Loserfools, Spuds na Shitty.

Watu walikuwa wakisema tutaambulia point 1 kati ya 9 😂😂

Huu mperampera hadi mwisho wa msimu. Tunachukua kila kitu
 
Naomba tarehe 18 uwepo wako uwe km huu Wa Leo ili haya maneno yako nikukumbushe.

umeongea kweli msimu huu katika mechi 19 za nyumbani tayari chelsea ameshinda mechi 12 , draw 3 and amebakiza mechi 4 kucheza. Sana sana man u wataambua sare.
 
Naunga mkono hoja.

Baada ya chumba cha Spurs, Liverpool, Aston Villa, Man City, kifuate chumba cha Chelsea na Arsenal.

Mkuu ningekuwa ni mshabiki wa Chelsea.. sasa niisingekuwa na amani tena ... maana ningekuwa ninajua kuwa kitachotokea week ijayo sio kizuri kwangu
 
Kweli Man Utd ni timu kubwa Duniani

Kila mtu yupo ndani anaangalia mpira Man Utd wakiwa wanacheza, pamaja na wale wenye roho ya korosho juu ya mafanikio ya Man Utd.

Dunia ilisimama kwa dk 90 ambazo mwanaume alikuwa katika mkakati wa kumshughulikia mtu wa nne kati ya 6 waliotamba kumsumbua kabla.
 
Ningekuwa mimi ni Malafyale ningesema Hata nyie sasa mnaogopa kucheza na Mashetani Wekundu

Kwa mpira niliona leo .. striker babu Drogba... tutatafutiana tuu lawama humu kwenye jamvi siku hiyo

Remy hiyo siku atasimama striker
 
Last edited by a moderator:
Mourinho anasema anapenda kucheza big game ata wachezaji wake wanapenda sn....

Jiandaeni na shughuli nzito

Mwenzio Mourinho huko aliko tumbo joto we unajipa matumaini huku, Kama Chelsea akifungwa na Man Utd basi ubingwa unakua open kwa Chelsea, Arsenal na Man Utd kwa kuwa uwezekano wa Chelsea kuifunga Arsenal ni mdogo sana
 
Back
Top Bottom