Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni zaid ya petrol na spidi hii hamtumpiti hata kwa dawa ila mki draw na city tutawapongeza sana ila nawatakia mema muwafunge chelsea, liva nao wamfunge na arsenal tumfunge halaf a draw mech 1 Arsenal tunyanyue kombe kwa kushinda mech zote zilizobakia COYG

Nyie mnatutisha bure tu, zamu yenu ikifika wala hamtathubutu hata kutikisa miguu.
 
...

AF5CA0B855324FA0BE1BD8181F948002.ashx
 
Mkuu hujamwelewa Ntuzu ..unakumbuka ile mechi ya PSG na chelsea??? Unakumbuka jinsi basi lilivyobomolewa darajani??? Sasa link na maneno ya Ntuzu heheheee

Hahahahahaaaaaa inaweza kuwa kweli eeeeeeehh!
Lakini mbona Costa walimleta wakati D. Simeoni alifanya ya ovyo pale darajani? Ntuzu njoo ujibu hoja huku LORDVILLE kakutuhumu.
 
Last edited by a moderator:
Duh! Ila mimi maombi yangu kwenye hizi mechi kubwa asipangwe.

Halafu gazeti la Daily Mirror limesema kwamba LVG yupo tayari kumuuza RVP na kumleta Cavan wa PSG. Kamchina kamegoma kuweka link, wadau mnalizungumziaje hili? Je Cavan ni chaguo sahihi kwetu?

Cc Nzi DonDonald kitwala RRONDO mfarisayo na #MUFC fans wote.

Nimeona hiyo habari ila Daily Mirror ni aina ya magazeti sio "realiable source"

Ila kwa dawa inavyofanya kazi sasa ... RVP asiwe anaanzishwa kwenye mechi , hata akiuzwa haitakuwa ni jambo baya

Cavani sio mbaya kama tutampata , ila ninahisi kuna washambuliji wengine ni wazuri pia tukiwapata {cheque ya £150 - £200 M ipo available kwa LVG atumie summer}
 
Kimahesabu tukimbutua Shitty jumapili atabaki akifukuza point 4, hivyo tutabaki tukimpigia mahesabu Gunners ambaye anajifanya gari lake kaweka petrol ya kutosha. Hebu jumapili njoo haraka ili mawazo yetu yahamie tarehe 18 april.

Siku hizi tunamkimbiza mwizi mmoja mmoja kimya kimya.

Sasa tunamtulizia akili Man Shitty tukimalizana naye hiyo jumapili {of course kwa kushinda}, tutaanza kuwafikilia hao wengine.
 
Majogoo yamewika Ewood Park
Najua kwa sasa hamna anayetaka kucheza na Majogoo ya Anfield

Hii timu hata hatuiwazii tena, tuko kwenye mipango ya kuhakikisha tunawapa kichapo Man Shitty, Wazee wa Bus, Everton na Gunners.
Wewe tulia tu maana habari yako ishafahamika.
 
Last edited by a moderator:
Duh! Ila mimi maombi yangu kwenye hizi mechi kubwa asipangwe.

Halafu gazeti la Daily Mirror limesema kwamba LVG yupo tayari kumuuza RVP na kumleta Cavan wa PSG. Kamchina kamegoma kuweka link, wadau mnalizungumziaje hili? Je Cavan ni chaguo sahihi kwetu?

Cc Nzi DonDonald kitwala RRONDO mfarisayo na #MUFC fans wote.

Binafsi nilipokea kwa furaha sana kuumia kwake na kufungiwa kwa Evans maana hawa wangetuangusha kwenye mechi muhimu kocha inabidi afanye maamuzi magumu kama kucheza atokee Bench sio kuanza.

Habari ya Cavan nimeiona sio mchezaji mbaya ni mzuri tu ana uwezo wa kufunga kwa miguu na hata kichawa kitu ambacho kwa sasa tunakimis kutoka kwa washambuliaji wetu mipira ya juu inapita free sana
 
Majogoo yamewika Ewood Park
Najua kwa sasa hamna anayetaka kucheza na Majogoo ya Anfield

Kaka yangu bana huachi visa jana tumelia mbele za Mungu angalau akukumbuke sasahiv ushaleta dharau tena!! Jana hadi nilinena kwa lugha nikimsihi Mungu akukumbuke hatimaye dakika ya 70 Bwana akajibu, wale watoto wangewatoa nishai, shukuru tulikuombea maana niliona kabisaa naenda kukupoteza kaka yang, Lol
 
Back
Top Bottom