mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
tutakutana j2
Hii timu hata hatuiwazii tena, tuko kwenye mipango ya kuhakikisha tunawapa kichapo Man Shitty, Wazee wa Bus, Everton na Gunners.
Wewe tulia tu maana habari yako ishafahamika.
Ehehehehe umfunge Man City,Arsenal na Chelsea?
Maajabu ya 9 ya dunia haya unayo ongelea
Malafyale aiseme man u vizuri!Mkuu nakupa 100/100 kwa post hii. Unajua mpira kuliko wapenzi wote wa Manchester United wanaoshikika siku hizi.
Malafyale aiseme man u vizuri!
Kwa kipigo tulichompa lazima roho imuume.
Keshokutwa saa 1800 siyo mbali man c wanakaa, chelsea wanakaa na everton pia.
Amin haya niyasemayo.
Jumapili kuna watu watakimbia hapa. Wengine watakodisha ndege au blimp yenye ujumbe wa kuhamasisha utimuliwaji kazi mtu.To be continue...
Mkuu nakupa 100/100 kwa post hii. Unajua mpira kuliko wapenzi wote wa Manchester United wanaoshikika siku hizi.
rubaman ulisema kuwa mipira ya weekdays unakuwa upo busy kupatikana hapa {Najua Brussels anakaba mpaka kona ...mimi na wewe tunaelewana hizi codes}..... point yangu ni hii .... jumapili sio weekeday kwahiyo naomba uwepo hapa ututhibitishie maneno yako hayo
Timu ya Malafyale hata ukimuamsha kwenye usingizi Mata atatupia tuu, wala hakuna mtu anayoiongelea tena
Rvp amerudi mazoezini ila sitaki aanze kwenye Derby
Rvp akianza lazima tupigwe2, maana hayupo kweny form kabisa co yule tunayemjua
Ni kweli mkuu, LVG asituangushe, ameanzishe tuu benchi, aingie dk 78 tunaongoza 3-0
Nyie mnatutisha bure tu, zamu yenu ikifika wala hamtathubutu hata kutikisa miguu.
Mpwa nitakuwepo hapa jamvini kwenu Jumapili,usinikimbie
Hyo jpil hamna cha ikwiriri wala nn mtu atalambishwa2 ndimu zake
Rvp amerudi mazoezini ila sitaki aanze kwenye Derby
Mungu atusaidie tufunge tu maana kuna watu wanatamani sana tufungweee!!!
Confirmed: Kaumia hatacheza mechi hiyo