Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kazi kweli kweli

Hii kitu sio kama Mkuu RRONDO kajitungia mwenyewe... hii niliona kuna siku za karibuni wanaizungumzia kwenye telly

Ingawa haina maana yeyote {kama kuna kombe au kushuka daraja} ila inaelezea hali halisi iliyoko, katika hizo timu zilizotajwa hapo kwa mechi zilizocheza zenyewe kwa zenyewe table yake inakuwa hivyo.

Hizi international games zinaharibu sana mambo, weekend hii ilikuwa tumfanyie kitu mbaya sana Aston Villa ila poa ataingia kwenye 18 week ijayo

Huna haja ya kum tag Pazi .... huyu jamaa baada ya yule jogoo aneyeumwa mdondo kuliwa na manyoya yale pale bandani kwake Anfield, jamaa anapatikana insta tuu ana post/support Cricket siku hizi {Mata mbaya sana kamfanya kijana abadilishe fani}

Hii ndizo opinions za Wanazi wa Man Utd, mnazidi kujipa moyo na farija kwa vitu visivyothibitishwa. Aliyeandika hii post(original) alikuwa ni mnazi wa United. Nipe link nicheke
 
Kufunga magoli katika timu ya Taifa huwa haielezei mengi juu ya mchezaji. Bendtner, Podolski, Forlan wana rekodi nzuri katika timu zao za taifa tatizo lao linakuja katika vilabu/ligi. Simaanishi kuwa Falcao hatoweza kurudi kama kabla ya kuumia. Tatizo lingine umri unamtupa mkono.....

Umri umemtupa na ana 29?? rubaman Seriously??
 
Last edited by a moderator:
Hata mie nimemsamehe maana nikisema yangu naweza kabisa nikanuniwa lol! ila sina huruma na mtu katika mechi zangu zilizobaki na timu sasa karibu yote wako safi ukiondoa wachache ambao labda hawatakuwa tayari kutia jezi labda mpaka wiki ya pili ya April. Ni kupiga watu magoli tu kuanzia wiki ijayo hadi mchezo wa mwisho.

Hapa sasa mkuu BAK unataka unitishe mpk mimi sasa....lol. Ata sikubali...utamfunga tu huyo huyo eveelenk lkn mimi na chama langu huwezi.

Hahahahahaha lol! eti kuutafuta mpira kwa tochi 🙂🙂 haya Mkuu ila jiandae kwa maumivu makali sana wiki ijayo. Mie, Ntuzu na dada yako everlenk tumeandaa gunia sita za pole angalau usitukimbie hapa jamvini.

Mkuu tarehe 4 sio mbali.....na mimi nilivo hodari kwa kuhesabu sikuuuuu...ni balaa. Asije tu huyu Malafyale akaanza kusema niko Ikwiriri, mara sipo mjini.....safari hii nitamtafuta mpk huko Ikwiriri na Mabibo....

Umeona eeh! mwache Malafyale ajipige kifua ila matokeo anayajua anajaribu kujipa moyo tu.

Huyu ni kawaida yake kutoa maneno sn.......alitoa maneno kabla ya mechi yao na ManU mpk everlenk akaogopa, akawa na presha......hahahahaaa chezea Malafyale

Kwendraaaaaaaaa!!!! Umefurahi kwasababu ametajwa Costa na Fabregas, huyu Kaka yangu Malafyale legend wake ni Mata tu, akimkumbuka jinsi alivyomtoa nishai hana hamu, lolz

Hahahaha yani ukimtaja Costa akili inaniambia kua ni top scorer na ukimtaja tu Faby akili pia inaniambia ni top assist....Safari hii tunachukua kombe na na hizo tuzo zote za hao kina Costa na Faby.

LOL! Kuna yule msagasumu nambari one humu acha! Anaitwa Nzi anajua kuandika mambo ya kuudhi sana 🙂🙂

Hahahahaa, huyu Nzi tangu kamfunga LFC siku hizi kawa na maneno murua kabisa..

Hahahaha!! Hao ndo wanafanya jukwaa linoge si unamuona hapo juu rubaman anavyotukejeli, kaka yangu Malafyale haachi pamoja na kipigo juu, hivi wa Chelsea ni nani vile ngoja nimchunguze,ila Ntuzu kule LFC anawasumbua sana ngoja majogoo yamcharukie atakoma mbona!!!!!


Majogoo siku yakinicharukia ntakimbia humu mpk msimu ujao....lkn unajua ukiondoa huyu rafiki yangu Malafyale na baadhi amabo hua napiga nao story kuna wengine mule ni nouma aisee...Ile siku PSG wamevunja Daraja walikuja karibu wote kila mmoja anaongea lake aisee....ngoja na mimi niwape za uso kidogo kidogo.....

Kuna mchambuzi wao kule LFC mkuu kapotea tangu Mata aliposhusha kipondo....kwi kwi kwi kwi kwi kwi BAK usije ukapotea na wewe ukifungwa mimi na everlenk tutakuja kukufariji mkuu.....lols.
 
Last edited by a moderator:
LOL! Mie siku nyingine huwa nasoma tu kimya kimya huwa nacheka sana lol! Sasa wakutane yule Gunners mwenzangu Wacha1 na Nzi utafurahia jinsi wanavyocharurana lol! Kweli aisee bila watu kama hawa majukwaa haya yatapooza sana. Mie kuangalia mpira bila kuwepo hapa juwaani hata haunogi sana.

Hahahaha!! Hao ndo wanafanya jukwaa linoge si unamuona hapo juu rubaman anavyotukejeli, kaka yangu Malafyale haachi pamoja na kipigo juu, hivi wa Chelsea ni nani vile ngoja nimchunguze,ila Ntuzu kule LFC anawasumbua sana ngoja majogoo yamcharukie atakoma mbona!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Siwezi jipa ban sababu mlishinda mkitumia loopholes ya Majogoo kuwa pungufu

11 kwa 11 hunifungi Anfield

Kwani uliweka conditions kuwa mtu akipewa red card BAN inakuwa haitambuliki?!! Wewe ulisema hata tukipata draw unajipiga ban. BTW SG alistahili red card let's assume he did u a favor coz u can't survive a day without commenting on this thread,prove me wrong!
 
Kwani uliweka conditions kuwa mtu akipewa red card BAN inakuwa haitambuliki?!! Wewe ulisema hata tukipata draw unajipiga ban. BTW SG alistahili red card let's assume he did u a favor coz u can't survive a day without commenting on this thread,prove me wrong!

Jamaa ana excuse za kimawenge....Liver alishaingia kwenye mashine ya kuchinjia....it wasn't about red card but about tactics

Sipati picha wangefunga goli wakiwa 11 kisha red card then tuka-draw.....mane lno ingekuwa mingi mtaani
 
One of the greatest scores of a lifetime for Man U


score3.jpg
 
Back
Top Bottom