Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Game nyingi sana team selection na sub za LVG ndio zinasababisha tunafungwa,game ambayo unatakiwa ushinde kwa nini unampanga Fellaini no 10 unamuacha Mata.Beki yetu inajulikana ni mbovu so tunapaswa kuwa tunatengeneza nafasi na kufunga magoli mengi,EPL sio michuano umefungwa kocha umekaa jukwaani.Kocha anaboa sana

LVG ni bonge la kocha

Ila akiendelea na kiburi chake hiki...... mkataba wake wa Miaka 3 hautafika mwisho
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Game nyingi sana team selection na sub za LVG ndio zinasababisha tunafungwa,game ambayo unatakiwa ushinde kwa nini unampanga Fellaini no 10 unamuacha Mata.Beki yetu inajulikana ni mbovu so tunapaswa kuwa tunatengeneza nafasi na kufunga magoli mengi,EPL sio michuano umefungwa kocha umekaa jukwaani.Kocha anaboa sana

Ni majanga ndugu yanguu....
 
Alichemsha subs...ila dah! Sasa itabidi tukomae angalau kucheza UCL next season...

Akishindwa kuipeleka timu UCL, basi itakuwa ni failure kwa LvG...

for sure without a doubt,atuachie usanii tunataka top four afe mchezaj afe trainer top four lazma kinyume chake timu imemshnda,atuachie siasa zake kwamba timu haijengwi kwa mwaka mmoja
 
Poleni Wakuu!!ndio soccer, Ila kwakweli Kutumia zaidi ya Pnd mil 220 alafu akikosa chochote hata top4, kweli LVG atastahili azabu. Kuna wachezaji sidhani kama Man U mliwahitaji waje aiseee.
 
Alichemsha subs...ila dah! Sasa itabidi tukomae angalau kucheza UCL next season...

Akishindwa kuipeleka timu UCL, basi itakuwa ni failure kwa LvG...
Nzi wewe huwa unamtetea LVG umeona mambo yake leo? mi kwakweli kwa leo ndo amenichosha kabisa yaani kanitibua nyongo haswaa
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
kwa mara ya kwanza nimeanza kupata mashaka juu ya LVG na nafasi ya United ndani ya top 4
 
Game nyingi sana team selection na sub za LVG ndio zinasababisha tunafungwa,game ambayo unatakiwa ushinde kwa nini unampanga Fellaini no 10 unamuacha Mata.Beki yetu inajulikana ni mbovu so tunapaswa kuwa tunatengeneza nafasi na kufunga magoli mengi,EPL sio michuano umefungwa kocha umekaa jukwaani.Kocha anaboa sana

Muda wa kukodisha "EDIKOPTA" na kupeperusha bango la LVG the Caveman OUT!!!!! Afu naona £59.7 M anazidi kudhihirisha kuwa ni bonge la flop kuliko Bebe
 
Hakika hili ni anguko la Man Utd, tunaenda msimu wa pili bila kombe lolote. Sitaki kuamini kama tunafata nyayo za Liverpool ya 1990.
 
Mnaiwaza sana top four ila niwape moyo mtafanikiwa ila sijui mnazionaje hizi mech zenu liverpool, spurs, man city, chelsea, arsenal n.k Danny Welbeck
 
Muda wa kukodisha "EDIKOPTA" na kupeperusha bango la LVG the Caveman OUT!!!!! Afu naona £59.7 M anazidi kudhihirisha kuwa ni bonge la flop kuliko Bebe

Dah wewe kiboko lol

Una furaha sana leo ... ila si ulisema midweek games utakuwa hupatikani humu au ?

Leo ingekuwa weekend lazima ungeenda ku chill na Iverson mitaa ya kati
 
So far the best thing alichofanya ni kupunguza magarasa (Cleverley,Wellbeck,Anderson etc) but so far sijaona improvement yeyote kwenye timu

Hahahaha Garasa limewaliza leo.
 
Leo ndo nimejua tuna maadui wengi sehemu kubwa ya Chelsea na Liver walikuwa washangilia Ars wamefurahi sana tulivyotoka,kumbe sisi ni tishio eeh?

Siku zote Utd ni jeshi la mtu mmoja

Gunners, Chelsea, You will never walk again, Man City wote wanakuwa wanaungana kuwa against Utd

Weka Kichwani
 
Back
Top Bottom