Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
Nope! I know is just a big joke, actually kuna connection na matokeo ya uchaguzi wa UK leo kama unafuatilia.
nimekupata
Nope! I know is just a big joke, actually kuna connection na matokeo ya uchaguzi wa UK leo kama unafuatilia.
Hello Manures........mpoo?? Nimefurahi sana leo sijui kwa nini!!Naomba wale wenzangu wa kutoka Old Trafford tuendelee kushangilia ushindi wa leo. Tuendelee kuzibua vizibo.
Tumeona mchezo wa vijana wapya, Pique na Simpson.
Kanyaga twende.
Naomba kuwauliza Wana KiManu Manu, hivi Bebartov ana matatizo gani? mbona anakosa magoli mengi kila siku namna hiyo?
Limewashuka.
Ubingwa mmevuliwa...
Na kiatu ndo kileeeeeeee
halafu mmesahau alipoondoka Ronaldo mlisema hakuna Man U bila CRMlitaka tuchukue mara ngapi mfululizo?
halafu mmesahau alipoondoka Ronaldo mlisema hakuna Man U bila CR? Well, you were too wrong.....subirini ligi ya 2010/11 muona mambo.
Timu bado ni nzuri ,kuna marekebisho madogo ya kufanya.Rio Ferdinand kashachoka ni bora msimu ujao Vidic acheze na Evans full back Rafael & Evra.Rafael,Nani,Valencia,Fletcher,Rooney,Gibson-replacement ya Scholes walikuwa kwenye kiwango bora.Hagreavis huenda akaanza msimu ujao
Wachezaji wa kuuzwa-Ben Forster,Carick,Owen,Diouf,Berbatov
Tunahitaji goalkeeper kwenye usajili wa January(Loris/Akinfeev/Green)
Attacking Midfielder(Mondric/D.Silva/Hamsik/Milner)
Striker(Dzeko/Villa/Benzema/Aguero)[/QU
kwanini usajili wa januari na sio summer?jan window ni fupi mambo hush hush unapewa bei kichaa.........
JT will still remember what happen in MOSCOW 4 the rest of his lifeHawa wataendelea kufulia kwa muda mrefu sana!
JT will still remember what happen in MOSCOW 4 the rest of his life
Rio Ferdinand can never forget that small guy from Barcelona!
No Edwin Van De Sar aliongezewa mkataba wa mwaka mmoja so January utakuwa ni wakati mzuri wa kufanya assesment ili aongeze au la pia inategemea afya yake kama hatakuwa fit huu ndio wakati mzuri.Patrice Evra, Nemanja Vidic walisajiliwa wakati kama huo kwa bei chee na perfomance zao babu kubwa
ok,mi naona wamlete MODRIC na BALE.....MODRIC ataleta creativity na BALE ataleta pace
Bale amesign mkataba mpya last week, hata hivyo beki wa kushoto tunae Evra na winga wapo Nani,Valencia