Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Majogoo wa Anfield
Hata wewe unaogopa sasa,points 2 nazikata kabla hata hujaja kwangu
Kizuri zaidi hata kocha wenu LVG anajua anapigwa Anfield

yeah mtatupiga kama mlivyotuchapa old Trafford 3
 
Majogoo wa Anfield
Hata wewe unaogopa sasa,points 2 nazikata kabla hata hujaja kwangu
Kizuri zaidi hata kocha wenu LVG anajua anapigwa Anfield

Kazi unayo......sawa wewe utashinda mechi zote na sisi tutafungwa zote!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Papi Cisse na Yoan Gouffran wana magoli mawili kesho Home team 2-1 Wageni. DonDonald kamtembelee Bookie mtaa wa pili
 
Leo tunatokelezea na mfumo wa 4-2-3-1 sawa na wapinzani wetu.

Line-up:-

D. De Gea (Gk)
Luke Shaw(D)
Rojo(D)
Smalling (D)
Valencia (D)
Di Maria (M)
Rooney (M)
Blind (M)
Young (M)
Herrera( M)
Falcao(F)

Wapenzi wote wa MAN U tuitakie mema timu yetu kwa mechi zilizobaki hatuhitajiki tupoteze hata kidogo, ee Mwenyezi tubarikie. Viva Man U.....:thumbup::thumbup:
 
Leo tunatokelezea na mfumo wa 4-2-3-1 sawa na wapinzani wetu.

Line-up:-

D. De Gea (Gk)
Luke Shaw(D)
Rojo(D)
Smalling (D)
Valencia (D)
Di Maria (M)
Rooney (M)
Blind (M)
Young (M)
Herrera( M)
Falcao(F)

Wapenzi wote wa MAN U tuitakie mema timu yetu kwa mechi zilizobaki hatuhitajiki tupoteze hata kidogo, ee Mwenyezi tubarikie. Viva Man U.....:thumbup::thumbup:

GGMU....natumaini tutawachapa hawa geordies!
 
jamani hivi bado mna mawazo ya kumaliza top four
 

Attachments

  • 1660517_803256696394060_9141796118806778486_n.jpg
    1660517_803256696394060_9141796118806778486_n.jpg
    53.9 KB · Views: 105
Kazi unayo......sawa wewe utashinda mechi zote na sisi tutafungwa zote!

Ndugu yangu St Andrew huwa sehemu korofi sana kwako
Tusikimbiane kaka,baada ya games zetu tuje hapa kujadili soka
 
Pole zenu nyingi ila msimfukuze kazi LVG kabla ya msimu. Kununa pia hairuhusiwi na kukimbia jukwaa pia ni mwiko.

Tumefunga ndoa siye katika shida na raha hakimbii mtu hapa.........Leo tunachomoka naamini......
BAK Leo usipochomoka nitakuja kukufanyia fujo za ajabu uko na kibonde...lol
 
Last edited by a moderator:
Tumefunga ndoa siye katika shida na raha hakimbii mtu hapa.........Leo tunachomoka naamini......
BAK Leo usipochomoka nitakuja kukufanyia fujo za ajabu uko na kibonde...lol

Statistic mbaya: man utd wanaongoza kwa kukimbilia polisi (kurudisha mpira kwa kipa). Wamerudisha mara 442,timu insayofuata imerudisha mara 398(Everton).
 
Last edited by a moderator:
Naona umeninunia sana leo lol!!! Kumbuka mkamia maji hayanywi isije tu kibao kikageuka ukaamua kupanda kitandani mapema sana kisa "sijisikii vizuri" lol! Kila la heri

Tumefunga ndoa siye katika shida na raha hakimbii mtu hapa.........Leo tunachomoka naamini......
BAK Leo usipochomoka nitakuja kukufanyia fujo za ajabu uko na kibonde...lol
 
Ndugu yangu St Andrew huwa sehemu korofi sana kwako
Tusikimbiane kaka,baada ya games zetu tuje hapa kujadili soka

Mkubwa ngoja nikurekebishe kidogo: St Andrew(s) ni uwanja wa Birmingham FC...... Newcastle uwanja wao unaitwa St James' Park

Kwenye uwanja huo wa St James Park leo timu kubwa na tishio Man Utd inajichukilia point 3 safi kabisa Leo. .. Wayne kama kawa atatupia za kutosha

Huko kwingine ninachojua washabiki wa Burnley watarudi kwao wakiwa wanatabasamu
 
Naona umeninunia sana leo lol!!! Kumbuka mkamia maji hayanywi isije tu kibao kikageuka ukaamua kupanda kitandani mapema sana kisa "sijisikii vizuri" lol! Kila la heri

wala sijakamia sana niko normal kabisa,ila siyo siri leo nimechoka sana sijui kama nitaweza kuangalia wote.
 
Back
Top Bottom