Hahahahahaha lol!!! Hongereni kwa kubebwa, mlizimiss sana hizi 3 points za kubebwa kwenye kila game sasa mmeanza kuzivuna tena.
Janujaz leo alikuwa mtamu kama mcharo amefanya kazi nzuri sana.Nimeona, hongera zenyu...at first I was not sure na ishu ya kumtoa Maria lakini jarnu didn't let down his coach. Good composure shown by radamel and I think he should have remained on the pitch to the end...
Wenye viwango vikubwa ndio mnatutia aibu kwenye Champions league Liverpool,Arsenal,Man City hakuna mlichofanya.Last season Moyes alifika robo fainali
Ohhhh!!! Hao kina naniliu hawachelewi kukwambia ni kombe mbuzi hawana haja nalo,lol
Janujaz leo alikuwa mtamu kama mcharo amefanya kazi nzuri sana.
Daaaah hata kama EPL kiwango kimepungua lkn haitakubalika kwa Man U kwa kiwango duni kama hiki kupata nafasi ya CL mwakani!
Will be disaster kwa Man U kucheza na any elite now!
Kiwango kibovu sana tuwe wakweli jamani
Naona mmejikunyata kona mnachungulia hamna imani na timu yenu. Mnasubiri mfunge goli ndo mje kushangilia sio? Nyie watu waoga kinoma. Come on Sunderland gongeni vichwa wasije kabisa humu.
DonDonald, Nzi, Belo, RRONDO, mfarisayo
Man U's performance at a dreadful level
Sunderland ni wazuri zaidi ugenini
Hahahahahaha lol!!! Hongereni kwa kubebwa, mlizimiss sana hizi 3 points za kubebwa kwenye kila game sasa mmeanza kuzivuna tena.
Hahaaaaaaa loooh 'kombe mbuzi' (kwa voice yako)
Hongera mtani naona Rooney kafanya yake leo point 3 ndani ya Trafford