grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Unaweza kuwaza kuwa kumbe kuna tofauti kubwa kuwa kocha wa timu ya Taifa na kocha wa Klabu.
Kumbe unaweza kumsifia mwalimu wa special school kwa kufaulisha wanafunzi wote daraja la kwanza ukamdharau mwalimu wa shule ya kata aliyefaulisha wanafunzi wote kwa Daraja la tatu.
Mwenye ufahamu atakuwa amenielewa, Van gaal bado si chaguo sahihi OT.
Kumbe unaweza kumsifia mwalimu wa special school kwa kufaulisha wanafunzi wote daraja la kwanza ukamdharau mwalimu wa shule ya kata aliyefaulisha wanafunzi wote kwa Daraja la tatu.
Mwenye ufahamu atakuwa amenielewa, Van gaal bado si chaguo sahihi OT.