Waanze dua za kuomba majeruhi ya pande zote mbili, yaani waombe Arsenal wapate majeruhi na wao pia. Maana wao angalau wanajitahidi na ile "second 11" kuliko kikosi cha kwanza.
Waanze dua za kuomba majeruhi ya pande zote mbili, yaani waombe Arsenal wapate majeruhi na wao pia. Maana wao angalau wanajitahidi na ile "second 11" kuliko kikosi cha kwanza.
Sasa Hapo itakuwa mnarudi mnakotoka au mnatoka mnapoenda? Mbona sijakupata!
BTW: Subirini kichapo, naona mmekariri mambo siku hizi kwamba mkikutana na Arsenal 'mnashinda', ebu wekeni rekodi ya kukutana FA tuone.
Waanze dua za kuomba majeruhi ya pande zote mbili, yaani waombe Arsenal wapate majeruhi na wao pia. Maana wao angalau wanajitahidi na ile "second 11" kuliko kikosi cha kwanza.