Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Nafikiri tunao midfielder wa kutosha but we need at least 2 defenders baada ya kuondoka PIQUE na Danny Simon kuondoka kwa mkopo
Beki hasa wa kati kwani wakiumia VIDA & RIO naona hakuna wa kuziba pengo kwani BROWN anaweza kucheza vizuri kulia
Silvestre na O shea hawaaminiki wakicheza kati
Then if posible SAHA auzwe aletwe striker mwingine
Beki hasa wa kati kwani wakiumia VIDA & RIO naona hakuna wa kuziba pengo kwani BROWN anaweza kucheza vizuri kulia
Silvestre na O shea hawaaminiki wakicheza kati
Then if posible SAHA auzwe aletwe striker mwingine