wakuu sijaingia humu tangu tufungwe na southampton....kwa kifupi LVG ananiboa maanake wala simuelewi anachokifanya.
sasa anamng'ang'ania RVP wakati FALCAO anaoneka kabisa ana uwezo kuliko RVP!!! ana mpanga Rooney as a midfielder na Di Maria as a striker why??? kwanini asimpange rooney as a striker na di maria midfielder??! na tusisahau ana timu nzuri kuliko DM
wakuu sijaingia humu tangu tufungwe na southampton....kwa kifupi LVG ananiboa maanake wala simuelewi anachokifanya.
sasa anamng'ang'ania RVP wakati FALCAO anaoneka kabisa ana uwezo kuliko RVP!!! ana mpanga Rooney as a midfielder na Di Maria as a striker why??? kwanini asimpange rooney as a striker na di maria midfielder??! na tusisahau ana timu nzuri kuliko DM
mkuu kumpanga di maria as a striker is something i never believed a coach with status such as lvg will do. mpaka nikajiuliza hiki kikosi kapanga fletcher[ass. captain] nini. dropping falcao to the reserves wasnt a smart move pia. lvg ana ego sana
sijafuatilia habari yoyote ya man utd tangu tufungwe na saints....na leo naenda kuangalia hii mechi wala sina ile hamu ya kawaida kuiona timu yangu...kocha gani huyu anajipangia timu hovyo hovyo tu!!! rooney ni striker ukimchezesha midfield ni kujitafutia matatizo,atawika na timu za kichovu tu ila ukicheza na timu ngumu kumuweka rooney midfield ni kumuonea tu!