Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Huyu Rafael ni kuuzwa,tangu ameingia hakuna alichofanya zaidi ya kucheza rafu
Bado hajawa na match fitness arifu..ndio maana LvG anampa dakika...ni namba 2 muhimu sana..akiuzwa nani atacheza namba 2? Antonio yeye ni winga teleza...kucheza 2 ni kutokana na majeruhi katika backline..wakiwa fit wote, kocha ashasema atarudi kwenye 4-4-2..