Hahaha!! Hiyo umepata ila niliyo nayo ni ile ya kichaga inaitwa mbege na ili inoge itabidi tukae duara tupokezane😛😛::beer::beer:
Kama wachezaji watakuwa fit hasa mabeki msimu huu tunaweza kugombania ubingwa.Herera,Blind,Fellaini na Carrick wanatosha.Kama Di Maria angekuwepo leo Loserfool tungewafunga hata goli sita
Msijidanganye kuwa mna timu ya kugombea ubingwa, hizi ni nguvu za soda tu
Pole mkuu Pazi, hawa jamaa wanaokolewa na kipa ama sivyo wangekuwa chini ya walipo
Pole mkuu Pazi, hawa jamaa wanaokolewa na kipa ama sivyo wangekuwa chini ya walipo
Msijidanganye kuwa mna timu ya kugombea ubingwa, hizi ni nguvu za soda tu
Mkao wa mduara siyo? Haya banaaa 🙂🙂 Unapiga sip ngapi kabla ya kumpokeza mwenzio? nisije nikamaliza bureeee kabla sijakupokeza lol!!!!
DAH naona vichwa vyenu vimekuwa kama vya Scania baada ya kutuotea. Ipo siku mtakimbiana hapa