Dah!
rubaman anatia huruma :becky::becky::becky:
Kuna jambo uwa linanishangaza sana, haswa kwa pundits wa UK.
United ikishinda games bila kucheza vizuri, basi utawasikia wanavyopondea na kusema eti siyo United's way of playing; oh, timu haina identity, oh, inacheza kama timu ya walevi (a pub team) n.k. Wanasahau 'winning ugly' ilikuwa ni moja ya philosophy ya timu hata chini ya SAF.
Lakini mpiga domo Maureen akipaki basi na kushinda games, anaonekana master tactician:A S 13::A S 13::A S 13: Wenger akishinda kwa kucheza vibaya, utawasikia eti hivyo ndivyo inapaswa kuwa wakati mwingine siyo kucheza tiki-taka kila mechi.
Yaani kwa UK, nafikiri United ni timu inayoongozwa kuchukiwa na waandishi wa habari na pundits wengi..
Ni ajabu na kweli...