Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

sikushangaa ushindi wa jana wa man u zidi ya asernal ila nilipata hamasa kubwa ya kushangilia kutokana na aina ya ushindi wenyewe na kikosi cha man the way kilivyokuwa dhaifu zaidi ya mara 100 zidi ya asernal.

Nilishawahi kusema kwenye Epl asernal ni kama mke mkubwa huwa hasumbui anapoletewa mtoto wa nje au mke mdogo,hata tukipanga makipa 9 uwanjani asernal hawawezi kutufunga
 
Hahahahah mkuu umenifurahisha sana, arsenal kwa man ni mchumba tu
Tulishawahi kuwafunga arsenal tukiwa na mabeki 9 uwanjani leo tumewafunga tukiwa na ma forward 9 uwanjani.
Hawa tumefunga nao ndoa.
 
wayne man

Arsenal-v-Manchester-United.jpg


jembe....

Arsenal-v-Manchester-United.jpg


workhorse....

Arsenal-v-Manchester-United.jpg


majeruhi hayaishi
Arsenal-v-Manchester-United.jpg
 
huu ushindi ni mtamu sana,hakuna raha kama kuwafunga midomo watu wenye kidomodomo kama gooners

arguably world number one

Arsenal-v-Manchester-United.jpg


angel

Arsenal-v-Manchester-United.jpg


hata ashley young jana kakimbiza!

CS73186789Arsenals-Alexis-S.jpg


mpira umemshinda kijana anaanza kupiga watu vichwa

CS73186789Arsenals-Alexis-S.jpg


red card offence

CS7318720322-November-2014.jpg
 
weekend saaaaafiii,mji umetuliaaaa

Arsenal-v-Manchester-United.jpg


paddy

Arsenal-v-Manchester-United.jpg


hakuna njia leo

Arsenal-v-Manchester-United.jpg


1-0

Arsenal-v-Manchester-United.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
tuendelee kuburudika,ushindi huu umeturudisha top four

Arsenal-v-Manchester-United.jpg


huyu no.10 anawafunga arsenal balaa

PAY-Arsenal-v-Manchester-United.jpg


mpira umewashinda wanaanza ngumi,vichwa...

PAY-Arsenal-v-Manchester-United.jpg


dk 8!!! hata wangeongezewa 80 wasingeshinda hii game

Arsenal-v-Manchester-United.jpg
 
Ahsante mkuu. Ila kimebaki kitu kimoja tu, nacho si chingine bali ni hiko KITI ulichokalia.



Mkuu Kitoabu kiti changu huwezi kukikalia Yani Hilo usahau kabisa.

Napenda kuona mnaimarika ili ligi iwe nzuri na yenye upinzani lkn kuja kukaa Hapa nilipo Hilo usahau kabisa...!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom