everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Hongera siku yenu leo. Mpira ni magoli kucheza vizuri tu bila kuziona nyavu za wapinzani haitoshi kabisa.
Santeee sana wangu ila mmetupelekesha kiasi fulani haikuwa kazi rahisi.pole sana dear kwa kipigo ndo mpira huo.