KUKU-DUME
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 474
- 196
Hii leo pia kizungu mkuti man watakongwa.
na wanakoswa kweli..
Hii leo pia kizungu mkuti man watakongwa.
Hii match tunatakiwa kushinda
WHU wakikaza kidogo TU...wanashinda hii mechi.
Subiri ifike dakika ya 60 kuanzia hapo kuna goli 3 za westham
Marefa wamekuwa ***** sana siku hizi dhidi ya United. Sasa Downing hata hajaguswa, Herrera kapewa yellow!!
lol!!!! Mlifanya makosa hati miliki ya kupewa penalty ili kubebwa na marefa kumuacha SAF aondoke nayo MRIE TU hakuna kubebwa siku hizi.
This is too low for you arifu. Nawe upo kwenye mkumbo wa kusema United ilikuwa inabebwa na marefa?
Kama ndivyo, basi tajiri wa Arsenal wa zamani David Dein aliyekuwa bosi wa FA, naye alihusika katika kuibeba United! How about that?!
lol!!!! Mlifanya makosa hati miliki ya kupewa penalty ili kubebwa na marefa kumuacha SAF aondoke nayo MRIE TU hakuna kubebwa siku hizi.
Subiri ifike dakika ya 60 kuanzia hapo kuna goli 3 za westham