Poleni sana Man Utd...Niliwaambia ligi ya mwaka huu ni ngumu haijawahi tokea...Kuna timu za kuangalia sana unapokutana nazo Everton,Aston Villa,Tottenham na Man City,hawa jamaa hawatabiriki hata kidogo unapokutana nao...Asanteni kwa kutupa nafasi ya kuendelea kuunyemelea ubingwa😀😀😀