Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

af ujue wewe unatafuta ugomvi na watu enh
ila sijui kwann nyuma tumekuwa hivi na hapa hatuna ujanja hadi tusubiri dirisha dogo
.....:shetani::shetani::shetani:...RED DEVILS, sasa hiyo ni gombania goli au?
mnataka penalty ya magumashi sasa, FERGIE pekee ndiye aliyekuwa na haki-miliki nazo.

 
  • Thanks
Reactions: Mbu
na hii off side ndo kabisaaa nimetaka kupiga na screen yenyewe
wewe si unajidai adui yako mwombee njaa??

.....aiiii wewe! unaanza uchoyo wako huo ee? "Nipe,....nipe kidogo,!"
nakuombea basi japo mfunge kiduuchu "off-side!"
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
_77276330_490049e6-aa0c-4e64-a2a9-fb77bd0d008a.jpg
 
_77276412_rooney_miss_pa.jpg


Jamani namtafuta Juda Iskariot nachikia kajificha huku na Van Gaffe
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
af ujue wewe unatafuta ugomvi na watu enh
ila sijui kwann nyuma tumekuwa hivi na hapa hatuna ujanja hadi tusubiri dirisha dogo

😛ray2:.......after christmas hiyo?....hehehe, January 2015!!!
"Mie thikochokodhi wewe!" gfsonwin, mimi nacheka na yangu tu banaa!
hata Burnley?!......hii team sawa na punda kirongwe aliyejizeekea!
........hahahahahhhahahhhaaaa!!!

 
_77276416_van_gaal_epa.jpg



Mpira wa Brown envelopes haukeshi
khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeee


_77276328_fcfce761-0904-4bb4-a5ba-4706f3019152.jpg



Nachikia Angelius hakucheza ... .... ... .
khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


 
Back
Top Bottom