Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inaonekana Cleverley,Wellbeck,Chicharito na Kagawa wanauzwa

Yaap kaka nyuma ya hii ni sababu za kiuchumi,(mishahara) na philosophy ya kutumia young player akina lingard ,mollison ………japo itatuathil tukipata majeluhi.
 
BIG FIVE SQUAD TRANSFER FEES-

Manchester United £401.2m

Manchester City £344.15m

Chelsea £341.8m

Liverpool £245.8m

Arsenal £209.5m
 
1409258922083_wps_5_Manchester_United_s_newly.jpg
😛eep:
 
[h=1]North Korean Great Leader Kim Jong-Un is a Manchester United fan[/h]

kim.jpg
 
Lous van gal z the best
ondoa shaka.

Hilo halina ubishi, tatizo ni je......mtamvumilia?
Flashback 1990, fergie almanusra afukuzwe, mechi sita bila ushindi na mbaya zaidi team ilikuwa inakaribia kushuka daraja.....

Moyes hamkumstahmilia japo mzee Fergie aliwapa Wosia "stick by your manager...!"
LvG naye mshaanza Oohh, bora ya Moyes....
 
[h=1]Valencia bid for Manchester United's Tom Cleverley - habari kama hizi ni njema sana na za kufanyia kazi haraka bila kusita[/h]
 
Hilo halina ubishi, tatizo ni je......mtamvumilia?
Flashback 1990, fergie almanusra afukuzwe, mechi sita bila ushindi na mbaya zaidi team ilikuwa inakaribia kushuka daraja.....

Moyes hamkumstahmilia japo mzee Fergie aliwapa Wosia "stick by your manager...!"
LvG naye mshaanza Oohh, bora ya Moyes....

Moyes alishindwa kua na mpango shawishi wa kuitoa united pale ilipo, hilo ndatatzo lake. Van gal anampango japo unaonesha dalili za kushindwa mapema. Akipewa muda ataweza na atavumiliwa.
 
Moyes alishindwa kua na mpango shawishi wa kuitoa united pale ilipo, hilo ndatatzo lake. Van gal anampango japo unaonesha dalili za kushindwa mapema. Akipewa muda ataweza na atavumiliwa.

Moyes alikuwa na mpango sema si mropokaji.

Huyu Hana mpango wowote af mropokaji...
 
Moyes!!!????
Kikosi cha akina vidic, ferdnand, evra, carrick, fletcher, +felain!!???
kwel huipend United

Van gal has smthn

- kikosi hichohicho kilichukua ubingwa 2010/2011

- alikiri si kikosi bora ambacho angependa kuwa nacho. Ila solution si kununua kwa mkupuo.

- kweli siipendi man useless.

- van gaal has nothing but empty words
 
ushindani wa EPL utamsumbua Van Gaal,
I respect this man. bt the game has changed.

:wacko:



- kikosi hichohicho kilichukua ubingwa 2010/2011

- alikiri si kikosi bora ambacho angependa kuwa nacho. Ila solution si kununua kwa mkupuo.

- kweli siipendi man useless.

- van gaal has nothing but empty words
 
Kuna dalili za mwanzo mwanzo kama huyu LV Girl atakuwa kama Moreno, basi wapenzi na washabiki wa MANU wanaweza kuanza kampeni kubwa ya kutaka SAF arudi ulingoni, mechi nyingine mbili/tatu zijazo zina umuhmu mkubwa sana kwa maisha LVGirl pale MANU.

dua zangu zootee ni kwa klabu yangu..........sitaman kuona tunaumizwa.
ila dahhhh...................
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mhhhh!!!! Mbona wote mnakimbilia huku banaaa!!! Hebu njoo kule Gunners, huku utakuwa mnyonge tu kila wiki muulize BelindaJacob alikuwa anapita sana huku lakini siku hizi huingia kila baada ya miezi minne 🙂🙂

dua zangu zootee ni kwa klabu yangu..........sitaman kuona tunaumizwa.
ila dahhhh...................
 
Back
Top Bottom