BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Mhhhhh!!!! Kumbeeee!!!! Haya banaaa uwe unapita pita basi huku kuja kuliwazana na wenzio.
Ni kweli lakini ni mpito tu.......
Ni kweli lakini ni mpito tu.......
Inaonekana Cleverley,Wellbeck,Chicharito na Kagawa wanauzwa
Inaonekana Cleverley,Wellbeck,Chicharito na Kagawa wanauzwa
....Mliachiwa Wosia, mkamdharau babu wa watu.
Cc, Nzi, Belo, BelindaJacob, Mndengereko, mfarisayo, et al....
Khe khe khe khe hali yenu ni mbaya sana Mkuu.
CC: Nzi, BelindaJacob
Sina hamu wapendwa. LvG aah acheni tu!!
BIG FIVE SQUAD TRANSFER FEES-
Manchester United £401.2m
Manchester City £344.15m
Chelsea £341.8m
Liverpool £245.8m
Arsenal £209.5m
Lous van gal z the best
ondoa shaka.
Hilo halina ubishi, tatizo ni je......mtamvumilia?
Flashback 1990, fergie almanusra afukuzwe, mechi sita bila ushindi na mbaya zaidi team ilikuwa inakaribia kushuka daraja.....
Moyes hamkumstahmilia japo mzee Fergie aliwapa Wosia "stick by your manager...!"
LvG naye mshaanza Oohh, bora ya Moyes....
Moyes alishindwa kua na mpango shawishi wa kuitoa united pale ilipo, hilo ndatatzo lake. Van gal anampango japo unaonesha dalili za kushindwa mapema. Akipewa muda ataweza na atavumiliwa.
Moyes alikuwa na mpango sema si mropokaji.
Huyu Hana mpango wowote af mropokaji...
Moyes!!!????
Kikosi cha akina vidic, ferdnand, evra, carrick, fletcher, +felain!!???
kwel huipend United
Van gal has smthn
- kikosi hichohicho kilichukua ubingwa 2010/2011
- alikiri si kikosi bora ambacho angependa kuwa nacho. Ila solution si kununua kwa mkupuo.
- kweli siipendi man useless.
- van gaal has nothing but empty words
Sina hamu wapendwa. LvG aah acheni tu!!
Kuna dalili za mwanzo mwanzo kama huyu LV Girl atakuwa kama Moreno, basi wapenzi na washabiki wa MANU wanaweza kuanza kampeni kubwa ya kutaka SAF arudi ulingoni, mechi nyingine mbili/tatu zijazo zina umuhmu mkubwa sana kwa maisha LVGirl pale MANU.
dua zangu zootee ni kwa klabu yangu..........sitaman kuona tunaumizwa.
ila dahhhh...................