Mkuu mi mwenyewe nimeshangaa mpaka nikawauliza kama wapo... hata nguli Nzi haonekani! Kulikoni?
Heko zako kwa kuwa True Die hard. Nadhani kuna mtu alipulizia dawa ya kufukuza Nzi humu ndani since last season.
Wapi Belo, Prondo, Mndengereko, DonDonald, Bulldog, chris Mushendwa na #TeamManchester United wengine? Huu ndo muda wa kuonyesha mapenzi ya dhati kwa timu yenu kama #TeamArsenal na #TeamLiverpool tunavyofanya.
Heko zako kwa kuwa True Die hard. Nadhani kuna mtu alipulizia dawa ya kufukuza Nzi humu ndani since last season.
Wapi Belo, Prondo, Mndengereko, DonDonald, Bulldog, chris Mushendwa na #TeamManchester United wengine? Huu ndo muda wa kuonyesha mapenzi ya dhati kwa timu yenu kama #TeamArsenal na #TeamLiverpool tunavyofanya.
Leo Swansea anakaa...
Heko zako kwa kuwa True Die hard. Nadhani kuna mtu alipulizia dawa ya kufukuza Nzi humu ndani since last season.
Wapi Belo, Prondo, Mndengereko, DonDonald, Bulldog, chris Mushendwa na #TeamManchester United wengine? Huu ndo muda wa kuonyesha mapenzi ya dhati kwa timu yenu kama #TeamArsenal na #TeamLiverpool tunavyofanya.
Duh wamepotea kurudi Humu inaonyesha atarudi Jesus mwanzo tehtehteh Manchester United wakishinda Leo ujue HT Luisa Van Girl atakuwa kawaambia jamani hii ni Pre Season Game wachezaji wakisikia neno Pre Season ndio watafunga wa UTD tehtehteh rudini jamani! Rubaman anawasaidia Kuwepo Humu Leo??.?.