Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mwangalie kesho kwenye mechi ya fainali, nasikia atacheza kama bado ana dive au ameacha. Mimi sijui kama uwa ana dive au ni kweli uwa anaangushwa kwani kajamaa ni kabishi kakiamua kupasua defence kanaenda bila kujali makunyanzi. Nampenda kwa kuwa ni mtu asiyekata tamaa.

Tiba

Ni mchezaji mzuri sana kama atakuwa ameacha ku-dive.
 
Kuna tetesi kwamba Di Maria yuko kwenye hati hati ya kujiunga na Man U. Hii deal ikipita Man U watakuwa wameokota bingo kwani jamaa ni mzuri kupita kiasi.

Tiba

Ni mchezaji mzuri sana kama atakuwa ameacha ku-dive.

Nachikia Van Gaffe kesha msajili Messi amewatoroka Barca kuhamia Manure pamoja na diver aliyekubuhu Robeno, mbona mwaka huu tutakonda .... .... .... .... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

BTW mchezo wa kubadili majina kama vinyoga Wacha neni nao khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee asiyebadili jina ni Nzi tu, lakini kapooza chiku hizi maana swaiba wake Mono alisepeshwa khe khe khe khe kheeeeeeeeeee
 
Luis van gaal a.k.a master plan kama tupendavyo wengi kumwita hivyo kutokana na kufanikiwa kwa plan zake katika mechi ya mexico kufanya mabadiliko na kupata ushindi wa goli mbili baada ya kusawazisha,,mbali na hapo pia alifanya supersub baada ya kumtoa kumuingiza golikipa ambaye alidaka penalt mbili na kupelekea ushindi uliowapeleka nusu fainali ambapo inaonekana mashabiki wengi wa Manchester united kupata afuheni kwa kudhani kwamba ule mzimu ulioikumba timu katika msimu uliopita hautokuwepo tena na itabaki stori..
Lakini kuna mambo ya msingi kabisa nadhani hayakuzingatiwa na hofu yangu kwamba yanaweza kutokea yale yaliyojitokeza msimu uliopita kwa sababu zifuatazao-:
1)Kocha sio ndo atakayeingia uwanjani kucheza bali benchi na ufundi alionao kuweza kuliorganize vizuri ikiwemo maelewano mazuri na wachezaji vikapatana ndo hupelekea mafanikio.
2)Kikosi cha uholanzi kina wachezaji wazuri waliosheheni uzoefu na waliokaa kwa muda mrefu pamoja na morale waliyokuanayo baada ya mechi yakwanza kumfunga bingwa mtetezi kwa kipigo cha aibu kimewapelekea hamasa kubwa ya kujiona wanaweza hivyo organization yake imekua ni rahisi sana
3)Tukija kwenye uwezo binafsi wa wachezaji,,Manchester imebaki na wachezaji ambao ili kocha yoyote aweze kufanikiwa ni lazima wafungashe safari kwani uwezo walionao na mafanikio ya timu ni vitu ambavyo havimatch..mfano Ashley young,tom clavery,Chriss smalling,moroune fellain,lous nani,michael carrick etc pasi na Ferdinand na nemanja ambao walijiona tayari hawapo katika mfumo wa ushindani kutokana na umri wao.
4)Uongozi mzima wa klabu unaonekana kuyumba sana katika kipindi cha karibuni baada ya sir Alex kustahafu nadhani wale wazoefu kuanzia benchi la ufundi mpaka management wengi walijiuzuru na kutafuta shughuli nyingine na kuondokewa kwa bosi baadae(kufariki)nadhani kutakua na impact kubwa katika uongozi kwenye maamuzi.
5)Anakuja ligi ambayo inaushindani mkubwa sana na anasafari ndefu kwani mechi saba za kombe la dunia mpaka unaingia fainali haziwezi kufananisha premier league,fa cup ingawa uefa na Europa league nadhani hawatakuepo lakini kiwastani anatakiwa kucheza mechi nyingi tofauti...
Nini nataka kusema kwamba tusije tukaexpect too high kwa mafanikio ambayo kocha ameyapata mpaka sasa kupitia timu ya taifa na baadae inaweza kua tofauti sana kwani ni mazingira mawili tofauti tukaja kushikana mashati kutokana na sababu chache ambazo mie binafsi nimeziona na kuzielezea hapo juu ingawa tunategemea atafanya vizuri kwa imani hiyo...#Man u forever#

mkuu ina maana wewe luis vam gaal umeanza kumjua kwenye world cup na kupata hamasa ya kumfanyia analysis kwa izo unazoziita mechi saba,tambua kuwa luis van gaal ameanza kuhusishwa na man u kabla ya kwenda brazil.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
World Cup imedhihirisha uwezo wa LVG, ni kocha mzuri mwenye uwezo wa kuishia nafasi ya 3 tena kwa kubebwa na Refa.Sio kocha wa kubeba kombe hii ni mara ya pili kama sio Tatu anafeli na Holland national team
Cc DonDonald,Nzi,Belo,Prondo.
 
World Cup imedhihirisha uwezo wa LVG, ni kocha mzuri mwenye uwezo wa kuishia nafasi ya 3 tena kwa kubebwa na Refa.Sio kocha wa kubeba kombe hii ni mara ya pili kama sio Tatu anafeli na Holland national team
Cc DonDonald,Nzi,Belo,Prondo.

sawa.....
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Man u siku hizi imegeuka Araenal...wanasajili kwa maneno!lol
 
World Cup imedhihirisha uwezo wa LVG, ni kocha mzuri mwenye uwezo wa kuishia nafasi ya 3 tena kwa kubebwa na Refa.Sio kocha wa kubeba kombe hii ni mara ya pili kama sio Tatu anafeli na Holland national team
Cc DonDonald,Nzi,Belo,Prondo.

Hujui unacho andika wewe unapaswa kuhurumiwa!
 
[h=1]Manchester United plc reaches agreement with adidas[/h][h=2]Manchester United plc (NYSE:MANU) has reached a ten-year agreement with adidas for a global technical sponsorship and dual branded licensing deal for a minimum guarantee of GBP 750 million, subject to certain adjustments, beginning with the 2015/2016 campaign.[/h]For the 2014/2015 season, Nike will continue in its role of technical sponsor and trademark licensee.
 
cc: rubaman MosDef and all rival baada ya kushika nafasi ya saba,still man utd can attract lucrative sponsorship deals than your first,second,third,fourth,fifth,sixth teams!!!! there is only one united!!!!

wengine walisema tumekimbiwa na sponsors,sio mbaya ukikimbiwa na ukipata mwingine anaetoa hela mara mbili ya aliyekimbia!!!!


[h=1]Premier League: Manchester United secure adidas kit deal[/h]






8





Wayne-Rooney_3110220.jpg


Man United: New kit deal is a huge boost for the Old Trafford team






[h=4][/h]



Manchester United have agreed a deal with adidas worth a minimum of £750million over 10 years from the 2015-16 season.
The news will be a welcome boost for the Old Trafford club whose performances on the pitch last season were hugely disappointing but they can now look forward to fresh investment with the new contract doubling the income from previous kit suppliers Nike.
A club statement on Monday read: "Manchester United plc has reached a 10-year agreement with adidas for a global technical sponsorship and dual branded licensing deal for a minimum guarantee of £750m, subject to certain adjustments, beginning with the 2015/2016 campaign."
Sportswear giants Nike announced on July 9 they had decided not to continue their relationship with United, claiming the Premier League side were demanding too much money.
Last week's statement from Nike, who are set to begin their final season of sponsorship with United, read: "Manchester United is a great club with passionate fans. We are proud to have partnered with them for the last 12 years and will continue to sponsor the club until the end of the 2014/15 season.
"Any partnership with a club or federation has to be mutually beneficial and the terms that were on offer for a renewed contract did not represent good value for Nike's shareholders. We look forward to a successful final season with the club."
Nike's original deal was worth £303m, with extra income from a profit share agreement from merchandise sold worldwide.
On July 7, United unveiled their new home kit for the 2014-15 season - which will be the last designed by Nike and the first to bear the logo of new sponsor Chevrolet.
United announced they would be entering a seven-year agreement - worth a reported £53million per season - with the US car giant from this summer back in 2012.
Incoming manager Louis van Gaal, who helped steer the Netherlands to third place in the World Cup at the weekend, will head to the United States to pick up the reins for the first time as United begin their overseas tour on Friday July 18.
 
Last edited by a moderator:
Mkataba wa addidas kwa Manchester United na makampuni mengine kama msimamo unavyoonesha tano Bora..
1.Klabu; Manchester United
Kampuni; Adidas
Thamani(mwaka); £75m
Miaka 10; £750m
2.Klabu; Real Madrid
Kampuni; Adidas
Thamani(mwaka); £31m
Miaka 8; £248m
3.Klabu; Chelsea
Kampuni; Adidas
Thamani(mwaka);£30m
Miaka 10; £300m
4.Klabu; Arsenal
Kampuni; Puma
Thamani(mwaka); £30m
Miaka 5; £170m
5.Klabu; Barcelona
Kampuni; Nike
Thamani(mwaka); £27m
Miaka 10; £270m
Adiddas- Tumeshawishika kutoa ofa nono kwa Manchester United kwa kuwa ni klabu bora duniani. Mkataba huu utatufanya tupige hatua zaidi kimasoko. Shukrani!!
 
Mkataba wa addidas kwa Manchester United na makampuni mengine kama msimamo unavyoonesha tano Bora..
1.Klabu; Manchester United
Kampuni; Adidas
Thamani(mwaka); £75m
Miaka 10; £750m
2.Klabu; Real Madrid
Kampuni; Adidas
Thamani(mwaka); £31m
Miaka 8; £248m
3.Klabu; Chelsea
Kampuni; Adidas
Thamani(mwaka);£30m
Miaka 10; £300m
4.Klabu; Arsenal
Kampuni; Puma
Thamani(mwaka); £30m
Miaka 5; £170m
5.Klabu; Barcelona
Kampuni; Nike
Thamani(mwaka); £27m
Miaka 10; £270m
Adiddas- Tumeshawishika kutoa ofa nono kwa Manchester United kwa kuwa ni klabu bora duniani. Mkataba huu utatufanya tupige hatua zaidi kimasoko. Shukrani!!

hata baada ya kushika nafasi ya saba....manchester united is manchester united!!!! class is permanent form is temporary....we have got class and our dip in form is temporary we will bounce back.....even adidas know that
 
Jamani mnakaribishwa Turin,mfanye shopping ya Vidal na Pogba as now Mr Conte is no longer there.
 
Kuna watu wanaweza kufa na kihoro kwa kusikia hilo deal la Adidas...Mungu atupe uhai tu, huo uzi ukitoka tu, nauchukua..
 
There are plenty of interesting stories in today's newspapers, with plenty of focus on Louis van Gaal as he prepares for his first press conference as Manchester United manager later today. There are reports that he is ready for a major clear-out at Old Trafford and has already drawn up a list of the players he intends to release. Those thought to be heading for the exit include Wilfried Zaha, Javier Hernandez, Anderson, Nani, Tom Cleverley, Chris Smalling and Bebe.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Ni kweli mkuu wangu kama yule mshabiki wa Mr Bean Wacha1 sasa hivi anapumulia mashine kwa kihoro cha Van Gaal.

Kuna watu wanaweza kufa na kihoro kwa kusikia hilo deal la Adidas...Mungu atupe uhai tu, huo uzi ukitoka tu, nauchukua..
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
HIGHLIGHTS ON LUIS VAN GAAL PRESS CONFERENCE AS MANCHESTER UNITED MANAGER

LVG speaks on meeting Sir Bobby Charlton to start
‘I want to thank Sir Bobby Charlton because it's a great honour to come in this stadium and be guided by him.
‘These were my first steps as coach of Manchester United and I was very proud to do that with Sir Bobby Charlton.
‘I saw him play and I know what he means to English football. It was a great honour

LVG to focus on first team but eyes long term plan for youth setup
‘The owners and CEO have asked (me to) give advice. But the main product is the first team. The youth is more long term. In the first two years we might have to separate them.
'I need all my knowledge (for the first time) and you have to give me time to do this.'


LVG in no rush to name new captain and will take time announcing one
‘All the players are a possible candidate (for captain). But I have to get to know them. The captain's role is very important and therefore I need time.
'Sometimes I haven't had time and I've made quick decisions, which aren't always good. I will take my time because the captain is very important.


LVG to focus on first team but eyes long term plan for youth setup
‘The owners and CEO have asked (me to) give advice. But the main product is the first team. The youth is more long term. In the first two years we might have to separate them.
'I need all my knowledge (for the first time) and you have to give me time to do this.'


LVG in no rush to name new captain and will take time announcing one
‘All the players are a possible candidate (for captain). But I have to get to know them. The captain's role is very important and therefore I need time.
'Sometimes I haven't had time and I've made quick decisions, which aren't always good. I will take my time because the captain is very important.
 
LVG on the task facing him at United
‘I will do my utmost best but I will not give predictions. It is the biggest club in the world.
‘When you see my career you can see what I have won. The future will show if I can do that again.




LVG on Manchester United being the No 1 club in England
‘Last season you were seventh so you are not the biggest club. You have to prove yourself. But all over the world people are talking about Manchester United – that is the difference.
'It is a great challenge because of that and that is why I chose this club. I have coached Barcelona, Ajax and Bayern Munich who are all No 1 in their country. Now I am at Manchester United which is No 1 in England.'



LVG on sanctioning summer signings and giving players a chance
‘My method is always the same – I want to look at the players I have now. I want to see in the first few weeks what they can do. Maybe then I shall buy others players.
'Shaw and Herrera were already on the list. I gave my approval because I like them. I want to see the (current) players perform with my philosophy.'



LVG on explaining his philosophy to United chiefs
‘The owners and the CEO have a lot of confidence in me, that is why they came to me. I explained my philosophy to them. But in football you cannot predict – no-one predicted the Dutch team would get as far.'





 
Back
Top Bottom