Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Giggs on Kipaza sauti...anatoa nasaha zake!! Kuwaaga wenzake akina Vidic
 
Giggs ni mweusi wa Kwanza kufundisha(japo kwa muda) Manchester United sio? Ince atachukuwa kiti permanently january.
 
Bado yupo katika payroll mkoponi Birmingham City. England kama kawaida yenu mtatolewa second round, Marekani hadi robo fainali mwaka huu.

In Wilson we Trust {England} lol, USA wamekuwa wanyela mwaka huu, mpo kundi na nani?
 
Mechi inayofuatia ya Man Utd Old Traford Kocha atakuwa ni Mholanzi.
 
Wenger nae hawezi kutuangusha...kwanza karibu wagonjwa wote wamerudi kundini...kiufupi tupo "safi"...FA for Gunners 2013-2014 Title. COYG

Hata mlipocheza na Birmingham City kwenye final "wagonjwa/flops" wenu walikuwa wamerudi kundini ila unakumbuka kilichotokea
 
Wenger nae hawezi kutuangusha...kwanza karibu wagonjwa wote wamerudi kundini...kiufupi tupo "safi"...FA for Gunners 2013-2014 Title. COYG

kashawaangusha miaka 9 sasa!!! hata kwa birmingham carling cup aliwaangusha........
 
farewell....goodbye VIDA
emanja-Vidic-ahead-of-the-001.jpg


dream debut
James-Wilson-battles-for--003.jpg


ouch!
Phil-Jones-after-sustaini-004.jpg


dream start..
Manchester-Uniteds-Wilson-006.jpg


good boy
Manchester-Uniteds-James--007.jpg
 
Back
Top Bottom