mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,215
Tunaomba usajili wa maana msimu ujao vinginevyo hii timu ata akipewa kocha wa aina gani hatuendi popote.
Ngongo, unafurahiaje maisha ya timu yako mpya, Man Utd? Vipi mambo yakizidi kuwa mabaya Manchester Utd utawakimbia kama ulivyofanya kwa Arsenal "Nimeacha kuishabikia Arsenal"? LOL ile article ilikuwa nzuri.
Duh hadi lini?? Anzeni kufukuza na wachezaji sasa...
Mkuu rubaman maisha Manchester ni mazuri msimu huu ulikuwa mbaya kwetu nilitegemea tungeyumba kidogo kwasababu Sir Alex aliamua kupumzika baada ya kuongoza Manchester kwa muda mrefu sana ni moja ya sababu kuu pia kikosi kilihitaji kukarabatiwa sana kitu ambacho Alex hakikufanya kama unaifuatilia Man ilikuwa na tatizo la kiungo tangu Roy alipolazimishwa kuondoka.
Mwisho Ngongo wa JF hajawahi hata siku moja kuwashabikia Arsenal ile story ilikuwa ni moja ya mbinu zangu za kuwachokoza mashabiki wa Mzee Bean bahati nzuri wengi waliingia kichwa kichwa isipokuwa mshabiki mmoja wa Arsenal Wacha1 aligundua nawatania.
Ngongo MAN 4 LIFE.
leo kocha giggs on pitch dadeki nataka nione vile itakuwa coz ndo mara yangu ya kwanza kushuhudia hii mambo ya namna hii
Ha haa hii man u hatari sana yaani kocha kajiweka sub....
Leo kocha Giggs on pitch dadeki nataka nione vile itakuwa coz ndo mara yangu ya kwanza kushuhudia hii mambo ya namna hii