Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,261
- 1,253
for the first time naenjoy kuiangalia manchester ikicheza toka msimu huu umeanza
Naona Giggs anatakata.
for the first time naenjoy kuiangalia manchester ikicheza toka msimu huu umeanza
Sawa. Ni kama nyie namba 4 ni haki yenu ya kuzaliwa.
Eti moyes kwa miezi tisa aliyokaa united amebeba makombe mengi zaidi ya wenger aliyekaa miaka tisa arsenal.
Giggsy shows how subs are done...
Hahaaa unajisahaulisha makusudi wakati next week Sunderland anakuja kuwavua nguo kwenu...Watvh out!!
dah! Shikamoo giggs, huna masihara katika kufanya subs....
okay this is for man utd fans only
kati ya mata na wayne nani atafunga hat trick leo?
Cc haters stay away plz
Okay this is for Man Utd Fans only
Hapa ndio yule mpmbaf moyes ajue maana ya sub ni nini
Sawa.
Mata tena kaleta matata...4-0
Kati ya Mata na Wayne nani atafunga Hat Trick leo?
cc Haters stay away plz
Okay this is for Man Utd Fans only
Kati ya Mata na Wayne nani atafunga Hat Trick leo?
cc Haters stay away plz