Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nadhani Mata kuanza benchi ni sawa...Norwich wako physical...hivyo Mata akiingia kipindi cha pili, jamaa watakuwa wamedoda sana...
 
Angalau sisi tulitumia £7 million kumnunua Bebe

Kuna timu ili spend £42 million kumnunua {Greatest transfer flop of all time}

2 HOURS TO GO heshima ianze kurudi mtaani lol

Lol kama kawaida yenu mnaanza kuhesabu vifaranga kabla mayai hayajatotolewa. Eti Ozil ni flop hahaha , subirini msimu ujao muone itakavyokuwa ndo mseme. SAF na ujanja wake aliuziwa muuza karanga kariakoo ya Portugal ndani ndani akadhani kapata next CR7.
Mkuu kama Giggs akipewa mechi 10 mtakuwa mnagombania kuwa top 10, jamaa hana experience ya ukocha msitegemee mengi.
 
Lol kama kawaida yenu mnaanza kuhesabu vifaranga kabla mayai hayajatotolewa. Eti Ozil ni flop hahaha , subirini msimu ujao muone itakavyokuwa ndo mseme. SAF na ujanja wake aliuziwa muuza karanga kariakoo ya Portugal ndani ndani akadhani kapata next CR7.
Mkuu kama Giggs akipewa mechi 10 mtakuwa mnagombania kuwa top 10, jamaa hana experience ya ukocha msitegemee mengi.

Arifu mbona hujaelewa kwamba Giggsy ni caretaker ama interim manager tu? Mbona unataka kulazimisha mambo?

Nasikia Van Gaal tayari keshasaini...sasa wakaanga sumu, mtakosa la kuongea.
 
Arifu mbona hujaelewa kwamba Giggsy ni caretaker ama interim manager tu? Mbona unataka kulazimisha mambo?

Nasikia Van Gaal tayari keshasaini...sasa wakaanga sumu, mtakosa la kuongea.

nae atamfuata mo-no..
 
Back
Top Bottom