Ukipiga hesabu za vidole kila kitu kinawezekanaBado naiona nafasi pale juu wakuu
Kwemaa mkuuKuifunga Wolves mkahisi mmemaliza. Nashukuru kuna mashabiki wenzenu walisema haina haja ya kelele kwakua Wolves ni wabovu
Kwemaa mkuu?I hav bad feelings na hii Game na Bournemouth
Nyumbu kama mnaenda kifa hivi
Ulitaka awe naniNyie kenge kweli star eti dialo mnachekesha sana
Mtamaliza nafasi ya 15 tena bado utakuja na hii hii kauli 😂Bado naiona nafasi pale juu
Bado naiona nafasi pale juu wakuuMtamaliza nafasi ya 15 tena bado utakuja na hii hii kauli 😂
Na leo ni fainalihii timu ni kama uyoga 😊