Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vp wakuu jumatatu tutatoka kweli maana hawa jamaa mechi ya mwisho kuwafunga OT ni hii
 

Attachments

  • Screenshot_20251212_122918_FotMob.jpg
    Screenshot_20251212_122918_FotMob.jpg
    11.3 KB · Views: 6
Naomba mumlinde sana MASON MOUNT..

anajua mpira, anajua sana mpira, mtunzeni sana mpeni muda mwingi wa kuanza mechi. Anajua sana na ana moyo mkubwa sana wa kupambania timu.
Baadae anaweza kuja kuwa nahodha mzuri sana hapo baadae.
View attachment 3513278
Anajua sema chapombe Sanaa dogo anakunywa Sana pombe ndio maana anarud sana wodin
 
Naomba mumlinde sana MASON MOUNT..

anajua mpira, anajua sana mpira, mtunzeni sana mpeni muda mwingi wa kuanza mechi. Anajua sana na ana moyo mkubwa sana wa kupambania timu.
Baadae anaweza kuja kuwa nahodha mzuri sana hapo baadae.
View attachment 3513278
Anajua sema chapombe Sanaa dogo anakunywa Sana pombe ndio maana anarud sana wodin
 
Man u Bado kasoro ndogo sana iwe timu ya ushindani ulaya
Kiungo na beki...
Kocha nahisi anawaza kutengeneza kiungo
Beki udhaifu ni kidogo sana plus tuna upcoming world class CB kama heaven na yoro.
Team inatoa matumaini.
Amorin anatuvusha
 
Kiungo na beki...
Kocha nahisi anawaza kutengeneza kiungo
Beki udhaifu ni kidogo sana plus tuna upcoming world class CB kama heaven na yoro.
Team inatoa matumaini.
Amorin anatuvusha
Mwantesa ninained wanakosa utulivu na ustadi kwenye finishing, angalau kwenye space coverage kwenye kukaba ime improve lakini changamoto ndogo ni kumalizia, hakuna umakini kabisa.
 
Kiungo na beki...
Kocha nahisi anawaza kutengeneza kiungo
Beki udhaifu ni kidogo sana plus tuna upcoming world class CB kama heaven na yoro.
Team inatoa matumaini.
Amorin anatuvusha
Ila kwa upande wa Heaven sina imani na huyu dogo kwenye ulinzi. Yani kama alivyokuwa Tuadzabe.

Na muombea Mbuemo (em-mbomoo) afunge gold.
 
Back
Top Bottom