ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,144
Waende tu cunha yupoDialo na mbeumo wanaenda AFCON.
Waende tu cunha yupoDialo na mbeumo wanaenda AFCON.
MiujizaVp wakuu jumatatu tutatoka kweli maana hawa jamaa mechi ya mwisho kuwafunga OT ni hii
Anajua sema chapombe Sanaa dogo anakunywa Sana pombe ndio maana anarud sana wodinNaomba mumlinde sana MASON MOUNT..
anajua mpira, anajua sana mpira, mtunzeni sana mpeni muda mwingi wa kuanza mechi. Anajua sana na ana moyo mkubwa sana wa kupambania timu.
Baadae anaweza kuja kuwa nahodha mzuri sana hapo baadae.
View attachment 3513278
Anajua sema chapombe Sanaa dogo anakunywa Sana pombe ndio maana anarud sana wodinNaomba mumlinde sana MASON MOUNT..
anajua mpira, anajua sana mpira, mtunzeni sana mpeni muda mwingi wa kuanza mechi. Anajua sana na ana moyo mkubwa sana wa kupambania timu.
Baadae anaweza kuja kuwa nahodha mzuri sana hapo baadae.
View attachment 3513278
Kiungo na beki...Man u Bado kasoro ndogo sana iwe timu ya ushindani ulaya
Mwantesa ninained wanakosa utulivu na ustadi kwenye finishing, angalau kwenye space coverage kwenye kukaba ime improve lakini changamoto ndogo ni kumalizia, hakuna umakini kabisa.Kiungo na beki...
Kocha nahisi anawaza kutengeneza kiungo
Beki udhaifu ni kidogo sana plus tuna upcoming world class CB kama heaven na yoro.
Team inatoa matumaini.
Amorin anatuvusha
Ila kwa upande wa Heaven sina imani na huyu dogo kwenye ulinzi. Yani kama alivyokuwa Tuadzabe.Kiungo na beki...
Kocha nahisi anawaza kutengeneza kiungo
Beki udhaifu ni kidogo sana plus tuna upcoming world class CB kama heaven na yoro.
Team inatoa matumaini.
Amorin anatuvusha
Ukipiga hesabu za vidole kila kitu kinawezekanaBado naiona nafasi pale juu wakuu