Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu nilikuambia bila set pieces nyie hamshindi.
 
Kakopi na kupaste kutokea wapi huyu
 
Geoff Leah huwa ana chuki na Amorim kisa wachezaji wake anaowapenda akina Rashford kutopewa nafasi
 
Allypipi akiacha prediction zake kwa man u.
Tutakua tunashinda mechi nyingi.
Jamaaa ana gundu na prediction hasa za GGMU
 
Manyumbu team mnayo kazeni hapo hapo swala la golikipa lisiwatoe mchezoni kumbukeni hata chelsea hatuna kipa tuna pazia sanchez ila hatulalamiki.
 
Sene lammens kabla ya weekend kuisha atakuwa new goalkeeper wa man united.
Hapo tutamalizia na kiungo afu tufunge dirisha.
Ruben inabidi awe makini sasa hii back up aliyopewa na ineos imemfaa.
 
Sene lammens kabla ya weekend kuisha atakuwa new goalkeeper wa man united.
Hapo tutamalizia na kiungo afu tufunge dirisha.
Ruben inabidi awe makini sasa hii back up aliyopewa na ineos imemfaa.
Ni kweli kabisa ila eneo la kiungo ni muhimu kuliko maeneo mengi sana waliyoyaimarisha msimu huu.
Kiungo ni lazima sio kwa ujinga wa Ugarte Casemiro
 
Leo kwa mbali sana niliona tetesi za Eduardo Camavinga toka madrid kwa ada ya uhamisho £69.1. Kwa mwenye uelewa wa hii taarifa tafadhali atutie moyo kidogo maana kwenda mzigoni bila midfielder itakuwa balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…