Bundesliga aisee si mchezo siwaamini sana...Kuna Werner jumla ya goli alizofunga bundelsiga n zaidi ya 60..alivyokuja epl Sasa....Kuna mwamba anaitwa taiwo awoniyi huyu mwamba Kuna Msimu alifunga goli 15 akiwa bundesliga lkn Msimu wa mwaka Jana epl akiwa na Nottingham forest kafunga goli moyatu sijui alipata majeraha au vipi..mifano mingine kina weghost
Ndiyo atimuliwe kwa mapenzi yakounaonaje, si bora atimuliwe si ndiyo. Amorim atimuliwe tu
Tununulie mdau huyo jackson sie hatuna elaHuyu sesko kamaliza ligi na goal 13 kwenye ligi nyepesi Kama ya bundesliga Halland alikuwa anapiga goal 30 huwezi kumfananisha na huyo Sesko Mimi nawaambia ukweli mnaleta ushabiki Sesko ni mchezaji wa kawaida ni Bora mngemchukua Jackson angewaoffer vitu ni mchezaji ambaye tayari ameshacheza ligi ngumu hii ya EPL naametupia goal 14 na assist 6, magoal 14 ya EPL yanathamini kulingana na ubora wa ligi kuliko magoal 13 ya Sesko
Halaand vp mkuu? Mbona kafanikiwa EPL kutokea budesliga.
Then de gea anaweza kuja united kumbuka ni biashara na project sio mapenzi na Bado tunampa heshima ya legend, lkn nadhani donaruma na Martinez ndio Wana nafasi ya juu kujiunga nasi
Huu mfumo wetu. Haumtaki Bruno acheze katikati kwenye Ile 4 ( 3: 4: 2: 1) ya kati, timu inakosa balance kwenye ukabaji Kwa sababu sio namba nane, sio namba sita na Hana sifa za ukabaji Wala speed ya kukaba nafasi na mtu.
Bora pale amuweke ugarte na baleba.
Afu cunha na fernades wanakuwa wacheze position Moja kwenye Ile 2 ya juu ( 3: 4: 2: 1).
Hyo ni mifano michache kwani lazima niitaje yote😂😂😂...tuliieni nyumbuMbona umezunguka kote halafu Nkunku umemruka, kweli kenge ni kenge tu.
Mbeumo kwenye 2 ya (3:4:2:1) anacheza kulia yeye na amad na kulia Bruno na cunha.Na Mbeumo akacheze wapi?
Mkuu bado tu unataka tuchukue hii takataka Jackson mbona mashabiki wa chelwowo mna roho mbaya sana mnataka mtubebeshe Manchester mzigo wenu mbovu, kwani kama ni mchezaji mzuri si mbakie nae wenyewe au mumpushie kwa newtako ambae kakatiliwa na kila mchezaji.Huyu sesko kamaliza ligi na goal 13 kwenye ligi nyepesi Kama ya bundesliga Halland alikuwa anapiga goal 30 huwezi kumfananisha na huyo Sesko Mimi nawaambia ukweli mnaleta ushabiki Sesko ni mchezaji wa kawaida ni Bora mngemchukua Jackson angewaoffer vitu ni mchezaji ambaye tayari ameshacheza ligi ngumu hii ya EPL naametupia goal 14 na assist 6, magoal 14 ya EPL yanathamini kulingana na ubora wa ligi kuliko magoal 13 ya Sesko
Na arsenal Netflix wasipokuja kushituka watabeba sana takataka za cheliwezele.Mwamba hili povu lote linakutoka kwa sababu tu msimu huu tumegoma kununua bidhaa zenu chakavu?
Kiufupi nyie ni matapeli na hatuna mpango wowote wa kununua wachezaji wenu, tena mlivyo na roho mbovu mlikua mnatushawishi na kutushinikiza kabisa tumnunue Nkunku na Jaskon dirisha hili.
Hivi nyie Chelkenge hua mnatuchukuliaje?
Endeleeni kuwapiga haohao Arsenyau, sisi tayari tumeshawashtukia janja yenu mazulumati nyie. View attachment 3437304
Usajili wa madueke umefanya hadi Castr Apotee kwenye jukwaa la Netflix arsenal.Mwamba hili povu lote linakutoka kwa sababu tu msimu huu tumegoma kununua bidhaa zenu chakavu?
Kiufupi nyie ni matapeli na hatuna mpango wowote wa kununua wachezaji wenu, tena mlivyo na roho mbovu mlikua mnatushawishi na kutushinikiza kabisa tumnunue Nkunku na Jaskon dirisha hili.
Hivi nyie Chelkenge hua mnatuchukuliaje?
Endeleeni kuwapiga haohao Arsenyau, sisi tayari tumeshawashtukia janja yenu mazulumati nyie. View attachment 3437304
Ila mmpigwa na RB Leipzig sio kwahiyo pesa aiseeMwamba hili povu lote linakutoka kwa sababu tu msimu huu tumegoma kununua bidhaa zenu chakavu?
Kiufupi nyie ni matapeli na hatuna mpango wowote wa kununua wachezaji wenu, tena mlivyo na roho mbovu mlikua mnatushawishi na kutushinikiza kabisa tumnunue Nkunku na Jaskon dirisha hili.
Hivi nyie Chelkenge hua mnatuchukuliaje?
Endeleeni kuwapiga haohao Arsenyau, sisi tayari tumeshawashtukia janja yenu mazulumati nyie. View attachment 3437304
Kwani nyinyi mara ya mwisho kuchukua ligi ya Mabingwa liniKwa hiyo kwa kua nyie ni mabingwa wa dunia basi tuwaache tu muendelee kutufanyia utapeli?
Huo ubingwa wenu kawatishieni Arsenyau kwangu pakavu, ambao tokea kuumbwa mbingu na nchi hawajawahi kutwaa huo ubingwa wa dunia wala kubeba kombe la Ulaya.
Ishu sio mnunue Jackson but mmenishangaza mmemkataa Jackson alafu mmeenda kuangukia kwa Sesko ni Bora mngeenda kwa striker wa maana Kama Osimen au isak au lotaro Martinez ningewaona wa maana, yaani mnatoa pesa nyingi kwa mchezaji wa kawaida kweli???Tununulie mdau huyo jackson sie hatuna ela
Mimi nashangaa kuwa na matumaini makubwa kwa mchezaji wa kawaida Kama Sesko ninawaambia ukweli pale mmepigwa ila kwa mbeumo pale ndio mmepata mchezaji kwasababu ana good consistency performancekana hutaki sesko kuwa man u kajinyonge....
kiaaaazi kweli kweli
Hayo ni mawazo yako kwamba Sesko ni mshambuliaji wa kawaida.. ngoja tuone bado ligi haijaanza, tutapata majibu yote wakati wake ukifika In shaa AllahIshu sio mnunue Jackson but mmenishangaza mmemkataa Jackson alafu mmeenda kuangukia kwa Sesko ni Bora mngeenda kwa striker wa maana Kama Osimen au isak au lotaro Martinez ningewaona wa maana, yaani mnatoa pesa nyingi kwa mchezaji wa kawaida kweli???
Mkuu Nina Kin'gamuzi cha Azam nafuatilia ligi ya bundesliga tafsiri ya kawaida kabisa ya mchezaji wa kawaida ni yule ambaye Hana consistency performanceHayo ni mawazo yako kwamba Sesko ni mshambuliaji wa kawaida.. ngoja tuone bado ligi haijaanza, tutapata majibu yote wakati wake ukifika In shaa Allah
Ila mmpigwa na RB Leipzig sio kwahiyo pesa aisee