King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Tukipata cdm Kama baleba na kipa wa maana ambaye sio footwork ball ni shot stopper na mwenye uwezo wa kuanzisha mashambulizi kwa haraka kutoka nyuma nina uhakiki big 4 msimu huu tunakuepo.Cunha Sesko Mbeumo
Fernandes Ugarte Maino
Dorgu Yoro Ligt Nousair
Onana
Msijipe matumaini makubwa sana maana hata huyo Sesko ni wa kawaida ila mmetoa pesa nyingi yaani ligi nyepesi Kama bundasliga unafuga goal 13 alafu unamwita mshambuliaji tishio vipi kwenye ligi ngumu Kama EPL? Timo Werner Katia kamba goal 25 Nini kimetokea alivyokuja EPL mfano mzuri pia Kai harvert.Utd ya msimu ujao inafaa kutazamwa. Inaquality players hasa kwenye safu ya ushambuliaji. Kwa sas tuhitaji keeper na kiungo mmoja then tutaheshimiana tu. Embu fikiria unafanyiwa msako na Mbeumo, Cuhna, Sesko, Bruno na Hamad na wote wana uwezo mkubwa wa kufunga unaponaje hapo? Utd haijawhi kuwa mbaya kivile misimu yote tatizo letu limekuwa kwa wafungaji ndio maana tunaishiaga goal difference negative msimu ujao kila idara itaimarika.
Kumbuka mlitupa Sancho naakafanya vizuri ChelseaMmetufanyia uhuni mkishirikiana na kipara shaolin monki (ten hag). Kwa kutupa kituko mount, Hivyo Kuweni na shukrani sababu tumewapa garnacho.
Nadhani hujasoma vizuri au hujaelewa nilichoandika, usajili wa msimu huu wa utd umekwenda kutibu tatizo lililoisumbua timu toka Sir Ferg aondoke. Tumekuwa hatufungi magoli zaidi ya 50 kwa msimu. Msimu huu tumesajili wachezaji wenye uwezo wa kufunga zaidi ya magoli kumi kwa msimu na kutoa asist na pia ni mafundi na wawili wametoka EPL hivyo hata huyu Sesko hawezi kuwa na pressure kivile sababu wafungaji wengine wapo tofauti na Hodjlind ambaye mzigo alibebeshwa yeye. Kwa nafasi ambazo utd wametengeneza msimu uliopita chini ya Amorim kama zikitokea kipindi hiki chini ya huyu Sesko naamini watu watalia.Msijipe matumaini makubwa sana maana hata huyo Sesko ni wa kawaida ila mmetoa pesa nyingi yaani ligi nyepesi Kama bundasliga unafuga goal 13 alafu unamwita mshambuliaji tishio vipi kwenye ligi ngumu Kama EPL? Timo Werner Katia kamba goal 25 Nini kimetokea alivyokuja EPL mfano mzuri pia Kai harvert.
Manchester United kuna vitu vingi wameangalia kwa sesko kubwa zaidi ni umri. Kusajili mchezaji ni pata potea anaweza kukupa output nzury au akaflop hiyo ni kawaida mfano hazard wenu wa Chelsea na yule wa Madrid ni tofauti kabisa lakini pia na kocha anachangia hilo kukingana na mfumo wake ambao unaweza kumkataa mchezaji.Msijipe matumaini makubwa sana maana hata huyo Sesko ni wa kawaida ila mmetoa pesa nyingi yaani ligi nyepesi Kama bundasliga unafuga goal 13 alafu unamwita mshambuliaji tishio vipi kwenye ligi ngumu Kama EPL? Timo Werner Katia kamba goal 25 Nini kimetokea alivyokuja EPL mfano mzuri pia Kai harvert.
Sancho hakusajiliwa na 10 hag bali alisajiliwa na ole guna solskjaer. Na hujui kuwa walikua na bifu na shaolin monk 10 hag. Nimechosema hapo ni kwamba 10 hag ni kocha aliyechangia pakubwa sana kuharibu club yetu kwa sajili nyingi mbovu ndio maana sancho kafanya vizuri kwenu.Kumbuka mlitupa Sancho naakafanya vizuri Chelsea
Yule mbwa na para lake sitakagi hata kuona picha yake ..Sancho hakusajiliwa na 10 hag bali alisajiliwa na ole guna solskjaer. Na hujui kuwa walikua na bifu na shaolin monk 10 hag. Nimechosema hapo ni kwamba 10 hag ni kocha aliyechangia pakubwa sana kuharibu club yetu kwa sajili nyingi mbovu ndio maana sancho kafanya vizuri kwenu.
Hatujipi matumain mkuu...kweli sesko ni mchezaj wa kawaida ..ila ndio hivyo ametaka kuja kucheza kwetu kama vile victor alivyowaganda arsenal. Ngoja tuone ajitahidi kufunga hata goli 2 tu msimu mzima zinatosha ni milestone kwetuMsijipe matumaini makubwa sana maana hata huyo Sesko ni wa kawaida ila mmetoa pesa nyingi yaani ligi nyepesi Kama bundasliga unafuga goal 13 alafu unamwita mshambuliaji tishio vipi kwenye ligi ngumu Kama EPL? Timo Werner Katia kamba goal 25 Nini kimetokea alivyokuja EPL mfano mzuri pia Kai harvert.
13 seskoSesko sio mzuri kivile, Kama mchezaji kwenye ligi Kama bundasliga anafunga goal 13 alafu wanatoa pound 80m timo Werner Katia kamba goal 25 angalia alivyokuja EPL Nini kimetokea
Nikua nasema Leo ikipita kimya felakuti anaweza kuua mtu dah ila huyu dogo ana malingo sana.
Garnacho mmewapa Chelsea lini?Mmetufanyia uhuni mkishirikiana na kipara shaolin monki (ten hag). Kwa kutupa kituko mount, Hivyo Kuweni na shukrani sababu tumewapa garnacho.
Here we go soon....garnacho only wants Chelsea...he is clear ...deal to be finalized soon and here we gooGarnacho mmewapa Chelsea lini?
Dah aisee timo Werner alikuwa anafukuzana sana na Babu lewa magoli anafunga mpk 18 kwenye ligi siku ya kwanza anakutana na Brighton kwenye ligi akasema mabeki wa epl mbona warefu hv 😂Msijipe matumaini makubwa sana maana hata huyo Sesko ni wa kawaida ila mmetoa pesa nyingi yaani ligi nyepesi Kama bundasliga unafuga goal 13 alafu unamwita mshambuliaji tishio vipi kwenye ligi ngumu Kama EPL? Timo Werner Katia kamba goal 25 Nini kimetokea alivyokuja EPL mfano mzuri pia Kai harvert.
Huu usajili siutamani utokee kabisaHere we go soon....garnacho only wants Chelsea...he is clear ...deal to be finalized soon and here we goo
Naikumbuka hii kauli yake na ndio ilimtia woga mpaka kuwa flop mazimaDah aisee timo Werner alikuwa anafukuzana sana na Babu lewa magoli anafunga mpk 18 kwenye ligi siku ya kwanza anakutana na Brighton kwenye ligi akasema mabeki wa epl mbona warefu hv 😂