Baleba Yuko sawa lakini naona kocha anamtaka hojlmund wa sporting Lisbon, pia baleba wale Brighton kwenye biashara Wana bei za juu tusubrie...sesko ndio amebakia sokoni naona anafaa huwezi mlinganisha na hojlund...
Hapa jezi kali ni mbili tu ya man united na real Madrid full stop. Adidas na Puma wamejitahidi, mie naona aliyezingua sana ni kampuni ya NiKE ebu cheki jezi za chelwowo.
Hapa jezi kali ni mbili tu ya man united na real Madrid full stop. Adidas na Puma wamejitahidi, mie naona aliyezingua sana ni kampuni ya NiKE ebu cheki jezi za chelwowo.
Eti unampiga Bournemouth nne kwenye preseason unaiita Un-fourgettable experience ππππ. Je ukimpiga Madrid 3-0 kwenye robofainali ya Champions League utasemaje? πππ.