Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

GGMU
IMG_6580.jpeg
 
Hawa jamaa hawajakosea kabisa kujiita Bilabao.
Ila wachezaji wetu na wenyewe hawajui kabisa kutumia fursa vizuri, hii mechi ilikua ya kushinda zaidi hata ya goli 5 halafu second leg inakua ni mechi ya kukamilisha ratiba tu, mechi ya marudio utakuta yanajirudia tena yaleyale ya Lyon, kipindi cha kwanza tu Bilabao wanarudisha goli zote 3 halafu mashabiki tunaanza kuteseka na high blood pressure.
 
Hawa jamaa hawajakosea kabisa kujiita Bilabao.
Ila wachezaji wetu na wenyewe hawajui kabisa kutumia fursa vizuri, hii mechi ilikua ya kushinda zaidi hata ya goli 5 halafu second leg inakua ni mechi ya kukamilisha ratiba tu, mechi ya marudio utakuta yanajirudia tena yaleyale ya Lyon, kipindi cha kwanza tu Bilabao wanarudisha goli zote 3 halafu mashabiki tunaanza kuteseka na high blood pressure.
Hilo liko wazi Bilbao baada ya red card wakaamua kutunza nguvu za second leg

Atashinda kwenye matofal 4 bila 😁
 
Hawa jamaa hawajakosea kabisa kujiita Bilabao.
Ila wachezaji wetu na wenyewe hawajui kabisa kutumia fursa vizuri, hii mechi ilikua ya kushinda zaidi hata ya goli 5 halafu second leg inakua ni mechi ya kukamilisha ratiba tu, mechi ya marudio utakuta yanajirudia tena yaleyale ya Lyon, kipindi cha kwanza tu Bilabao wanarudisha goli zote 3 halafu mashabiki tunaanza kuteseka na high blood pressure.
Acha kabisa mkuu,man u ananipa pressure Sana anapocheza kuna wakati mpaka nazima TV nisiendelee kuangalia
 
Mechi ya kwanza kushinda spain
 

Attachments

  • 1746164607674.jpg
    1746164607674.jpg
    459.6 KB · Views: 12
Na spurs nae tayari ameshampiga Bodo goli 2, Fainali Man Utd tukikutana na Spurs mechi itakua ngumu sana, maana wote kwenye ligi tumezingua, hivyo wote tumewekeza nguvu zote kwenye Europa ili tupate nafasi ya kushiriki Uefa msimu ujao.
Amini kwamba Tutamchakaza Spurs.
 
Antony at Real Betis:

▪️ 10 G/A in 19 games

Antony at Man Utd:

▪️ 17 G/A in 96

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝐑𝐀🇵🇹
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨𓀃
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏➩
#𝙂𝙂𝙈𝙐💪🏿😶


𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐭𝐝 | games
IMG_20250502_085001_496.jpg
IMG_20250502_085001_980.jpg
 
❗️ 𝐁𝐫𝐮𝐧𝐨 𝐅𝐞𝐫𝐧𝐚𝐧𝐝𝐞𝐬 is the first player in 𝐔𝐄𝐋 HISTORY to register 30 goal involvements in the knockout stages.

He's done it in only 32 games

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝐑𝐀🇵🇹
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨𓀃
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏➩
#𝙂𝙂𝙈𝙐💪🏿😶


𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐭𝐝 |😂
IMG_20250502_084855_475.jpg
 
🚨❤️ Bruno Fernandes: “The manager and physio say that I need to relax and rest, but I say no”.

“When I die, I will have a lot of time to lay down and 𝐫𝐞𝐬𝐭.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝐑𝐀🇵🇹
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨𓀃
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏➩
#𝙂𝙂𝙈𝙐💪🏿😶


𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐭𝐝 |”.
IMG_20250502_083141_331.jpg
 
🚨 𝐌𝐚𝐧𝐜𝐡𝐞𝐬𝐭𝐞𝐫 𝐔𝐧𝐢𝐭𝐞𝐝 𝐡𝐚𝐯𝐞 𝐚𝐠𝐫𝐞𝐞𝐝 𝐝𝐞𝐚𝐥 𝐭𝐨 𝐬𝐢𝐠𝐧 𝐭𝐚𝐥𝐞𝐧𝐭𝐞𝐝 𝟏𝟖 𝐲𝐞𝐚𝐫 𝐨𝐥𝐝 𝐬𝐭𝐫𝐢𝐤𝐞𝐫 𝐄𝐧𝐳𝐨 𝐊𝐚𝐧𝐚 𝐁𝐢𝐲𝐢𝐤 𝐟𝐫𝐨𝐦 𝐋𝐞 𝐇𝐚𝐯𝐫𝐞, 𝐚𝐬 𝐩𝐥𝐚𝐧𝐧𝐞𝐝.

𝐊𝐚𝐧𝐚 𝐁𝐢𝐲𝐢𝐤, 𝐬𝐞𝐭 𝐭𝐨 𝐬𝐢𝐠𝐧 𝐝𝐨𝐜𝐮𝐦𝐞𝐧𝐭𝐬 𝐬𝐨𝐨𝐧 𝐭𝐡𝐞𝐧 𝐝𝐞𝐚𝐥 𝐰𝐢𝐥𝐥 𝐛𝐞 𝐚𝐧𝐧𝐨𝐮𝐧𝐜𝐞𝐝 𝐚𝐬 𝐨𝐧𝐞 𝐦𝐨𝐫𝐞 𝐬𝐢𝐠𝐧𝐢𝐧𝐠 𝐟𝐨𝐫 𝐭𝐡𝐞 𝐟𝐮𝐭𝐮𝐫𝐞.

𝐂𝐨𝐧𝐭𝐫𝐚𝐜𝐭 𝐮𝐧𝐭𝐢𝐥 𝟐𝟎𝟑𝟎 𝐩𝐥𝐮𝐬 𝐨𝐩𝐭𝐢𝐨𝐧, 𝐚𝐬 𝐫𝐞𝐩𝐨𝐫𝐭𝐞
𝐝.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝐑𝐀🇵🇹
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨𓀃
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏➩
#𝙂𝙂𝙈𝙐💪🏿😶


𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐭𝐝 |
IMG_20250502_093108_824.jpg
 
Back
Top Bottom