Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanangu mnawajua bolibao?

Huyu kocha valverde nilimpenda toka akiwa Barcelona

Huruma manchester united zikipungua sana leo mnakula tano uku bruno akila umeme
Kanji unajua sana kutabiri kinyumenyume.
Kipindi cha kwanza tayari huyo Bilabao wako kashachezea goli 2 na ile kadi nyekundu uliyoitabiri pia wameshapewa kama kifungashio, tunasubiria kipindi cha pili tumalizie hizo goli 3 ili utabiri wako uende sawa.
 
GGMU
IMG_6580.jpeg
 
Hawa jamaa hawajakosea kabisa kujiita Bilabao.
Ila wachezaji wetu na wenyewe hawajui kabisa kutumia fursa vizuri, hii mechi ilikua ya kushinda zaidi hata ya goli 5 halafu second leg inakua ni mechi ya kukamilisha ratiba tu, mechi ya marudio utakuta yanajirudia tena yaleyale ya Lyon, kipindi cha kwanza tu Bilabao wanarudisha goli zote 3 halafu mashabiki tunaanza kuteseka na high blood pressure.
 
Hawa jamaa hawajakosea kabisa kujiita Bilabao.
Ila wachezaji wetu na wenyewe hawajui kabisa kutumia fursa vizuri, hii mechi ilikua ya kushinda zaidi hata ya goli 5 halafu second leg inakua ni mechi ya kukamilisha ratiba tu, mechi ya marudio utakuta yanajirudia tena yaleyale ya Lyon, kipindi cha kwanza tu Bilabao wanarudisha goli zote 3 halafu mashabiki tunaanza kuteseka na high blood pressure.
Hilo liko wazi Bilbao baada ya red card wakaamua kutunza nguvu za second leg

Atashinda kwenye matofal 4 bila 😁
 
Hawa jamaa hawajakosea kabisa kujiita Bilabao.
Ila wachezaji wetu na wenyewe hawajui kabisa kutumia fursa vizuri, hii mechi ilikua ya kushinda zaidi hata ya goli 5 halafu second leg inakua ni mechi ya kukamilisha ratiba tu, mechi ya marudio utakuta yanajirudia tena yaleyale ya Lyon, kipindi cha kwanza tu Bilabao wanarudisha goli zote 3 halafu mashabiki tunaanza kuteseka na high blood pressure.
Acha kabisa mkuu,man u ananipa pressure Sana anapocheza kuna wakati mpaka nazima TV nisiendelee kuangalia
 
Mechi ya kwanza kushinda spain
 

Attachments

  • 1746164607674.jpg
    1746164607674.jpg
    459.6 KB · Views: 15
Na spurs nae tayari ameshampiga Bodo goli 2, Fainali Man Utd tukikutana na Spurs mechi itakua ngumu sana, maana wote kwenye ligi tumezingua, hivyo wote tumewekeza nguvu zote kwenye Europa ili tupate nafasi ya kushiriki Uefa msimu ujao.
Amini kwamba Tutamchakaza Spurs.
 
Antony at Real Betis:

β–ͺ️ 10 G/A in 19 games

Antony at Man Utd:

β–ͺ️ 17 G/A in 96

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π‘π€πŸ‡΅πŸ‡Ή
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨π“€ƒ
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™βž©
#π™‚π™‚π™ˆπ™πŸ’ͺ🏿😢


𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐭𝐝 | games
IMG_20250502_085001_496.jpg
IMG_20250502_085001_980.jpg
 
Back
Top Bottom