Always nawaambia tatizo kubwa la hii timu ni wachezaji, hii timu Inahitaji wachezaji wa kazi kweli. Ona hizi goals zote ni makosa ya wachezaji wenyewe, tena Newcastle Wala hawatumii nguvu kabisa. Hii timu kama ikiwa na mentality ya Kuwa kocha ni tatizo basi wana safari ndefu sana ya kwenda, weka watu makini waingie mzigoni wakuletee watu wa maana, then kazi kwisha mhukumu kocha. Wewe unaleta viazi unataka ladha ya baga