lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,214
- 28,133
Na huyo alieletewa huyo kipa nae alishindwa na mfumo wa kucheza kuanzia nyuma.
Ten hag ametushangaza
Low budget Pep.
Na huyo alieletewa huyo kipa nae alishindwa na mfumo wa kucheza kuanzia nyuma.
Ten hag ametushangaza
Eheee endelea na porojo zako.Ooh Arsenal wakipigwa red wanatepeta.
Mbuzi nyinyi hata dakika mbili hazijaisha washuka daraja wenzenu wamewabandua
Kama ni kurudisha mtu hapa anayeonekana ana akili kubwa angalao Mou.Yule mzee ni wa kufundisha westham na Cardiff
We punda si ulisema zakaria kakobe ni bonge la mchezaji
bora budo kuliko huyo mwanamielekaNyumbu ile hojlund mmetapeliwa pakubwa duuh😂😂😂...na mwenzake Joshua budo zirkzee( huyu naye mpk alitaka kushangilia goli la kujifunga la morsy😂..kufunga yeye kashindwa)
Netflix fcOoh Arsenal wakipigwa red wanatepeta.
Mbuzi nyinyi hata dakika mbili hazijaisha washuka daraja wenzenu wamewabandua
InjuryImefikia wakati tumpe nafasi Bayindir akae golini labda anaweza kufanya mambo ya msingi huku tukimalizia ligi tofauti na Onana!
This is too much..
Ham hamFul-Ham
West-Ham
Notting-Ham
tupen kelleherTafuteni kipa wa kueleweka
Tangu lini tukauza mchezaj nyumbutupen kelleher