Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 1,196
- 1,463
.
Kumbe ulishatabiri 😅Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim kimeshuka kwenda kuwaangamiza wale Ipswich.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
My prediction
Manchester united 4 vs Ipswich 0
Tutapiga sana wale.View attachment 3250884
Kula chuma 😅Hatari diLigtView attachment 3250959
HeheheHatari diLigtView attachment 3250959
We punda si ulisema zakaria kakobe ni bonge la mchezajiKumbe huyu kocha ni mjinga kiasi hiki. Baada ya red ya Dorgu kwa njia yoyote alitakiwa amtoe HUJLUND au ZIRKZEE wanaorukaruka pale mbele hata hawajui wanafanya nini. Badala yake anamtoa Garnacho ambaye ni hatari sana akiwa huku kushoto na siku hizi ame-improve kwa kross chonganishi. Jinga sana hili kocha kumbe.
Kumbe huyu kocha ni mjinga kiasi hiki. Baada ya red ya Dorgu kwa njia yoyote alitakiwa amtoe HUJLUND au ZIRKZEE wanaorukaruka pale mbele hata hawajui wanafanya nini. Badala yake anamtoa Garnacho ambaye ni hatari sana akiwa huku kushoto na siku hizi ame-improve kwa kross chonganishi. Jinga sana hili kocha kumbe.
Imetosha, tupunguzie hizi tabiri kabla ya kushuka darajaMy prediction
Manchester united 4 vs Ipswich 0
Tutapiga sana wale.
Paundi million 57 kwa ajili ya Andre Onana
Na huyo alieletewa huyo kipa nae alishindwa na mfumo wa kucheza kuanzia nyuma.Tulitaka kipa anayeweza kucheza na mpira, hahaha!