Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ooh Arsenal wakipigwa red wanatepeta.

Mbuzi nyinyi hata dakika mbili hazijaisha washuka daraja wenzenu wamewabandua
 
We punda si ulisema zakaria kakobe ni bonge la mchezaji
1000537432.jpg

Tumeanza ligi sasa tukiwa pungufu...👏👏View attachment 3250991
1000537443.jpg
 
Nyumbu ile hojlund mmetapeliwa pakubwa duuh😂😂😂...na mwenzake Joshua budo zirkzee( huyu naye mpk alitaka kushangilia goli la kujifunga la morsy😂..kufunga yeye kashindwa)
 
Imefikia wakati tumpe nafasi Bayindir akae golini labda anaweza kufanya mambo ya msingi huku tukimalizia ligi tofauti na Onana!
This is too much..
 
Nyumbu ile hojlund mmetapeliwa pakubwa duuh😂😂😂...na mwenzake Joshua budo zirkzee( huyu naye mpk alitaka kushangilia goli la kujifunga la morsy😂..kufunga yeye kashindwa)
bora budo kuliko huyo mwanamieleka
 
Back
Top Bottom