epl tutaimaliza 9marchMnajitahidi sana kutafuta Kila namna mshuke daraja🤠🤠🤠...kimzahamzaha hivihivi mnawafqta Sheffield United kwny ligi Yao.....
mtashinda 3-2Sijui tumuachie West Ham atupige leo ili awaruke.....
Vipi mmepiga kamubaki?Njooni 2-2
kamejiangusha kenyeweDuh refa kaamua kupeta
Kwa ligi ya kwetu Kibongo bongo ile ni penalty 100%😂.....ile naona km alijirusha hv alizidisha manjonjoVipi wakuu Ile ni penalty au sio penalty!?
🤣 w jamaa ndomana kocha kaja mapema ili atenganishe pumba na mcheleHizi takataka zitamfukuzisha kocha kazi
Delgt
Mazrou
Dalot
Casemiro
Kobie
Amad
Hojlund
Gernacho
Hawa wafukuzwe leo usiku🤔