IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,738
- 7,083
Tangu lini tukauza mchezaj nyumbutupen kelleher
Tangu lini tukauza mchezaj nyumbutupen kelleher
😁 unadhani yeye ndo tatzo 🤣Siku mkisikia tu Sir Alex Ferguson kavuta basi msimu huhuo ndio tunabeba Epl.
Tutabadilisha makocha na makocha midhali SAF bado anapumua tusahau kabisa kuhusu hili kombe.
Tatizo ni Allypipi😁 unadhani yeye ndo tatzo 🤣
unadhani yeye ndo tatzo
![]()


Antony Masebene na Real Betis yake wanajipigia tu kina Madrid huko. Tayr game limeshaisha kabla ya dk.90.Watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka leo kutetea kombe lao.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
My prediction
Man United 3 vs Fulham 1
Watapigwa sana wale.View attachment 3256152
Utd hatuna goli kipa saves ambazo De gea alikuwa anafanya ni nadra kuona Onana akifanya na hii ndio sababu tupo nafasi mbovu. Uongo mbaya De gea alikuwa anatubeba sana na timu yetu mbovu ETH katuleta tatizo lingine.


Si wenyewe ndio tulikua tunataka kipa kisheti?😂..nyumbu mpigeni ban huyu pengine ndo mchawi wenuWatoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka leo kutetea kombe lao.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
My prediction
Man United 3 vs Fulham 1
Watapigwa sana wale.View attachment 3256152
Hii timu, inatupa ugonjwa wa moyo!Brunooooooooooo....1-1