Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kobe maino
Delgt
Mazurui
Hamad
Dalot
Lindof
Rashford
Antony


Hizi takataka zinatakiww Ziondoke msimu unaoisha
 
Nataman hii timu ishuke daraja kumamakeh.

Namuangalia huyu mmisri anavokiwasha man city hapa, hivi hata skaut wa hii timu mbovu ya man utd walishindwa hata kumjua ama kumuona huyu mchezaji

Wanakumbatia mashoga akina rash ford na wapuuzi wengine ...ila mwaka huu lazima akili zikae sawa
 
Hii United hata haijulikani shida nini!
Imagine wachezaji wa everton wanavyokimbia uwanja mzima kuwazuia liverpool, ila united hatuwezi hata kukaa na mpira daki 2 tu!
Hukumbuki mechi ya mwisho liva na man u ilikuwa kidogo tu jogoo anyonyolewe. Man u hawajitumi kila mechi, hawana malengo ambayo wanayapambania, ni wanakamia mechi mojamoja tu.
 
Nataman hii timu ishuke daraja kumamakeh.

Namuangalia huyu mmisri anavokiwasha man city hapa, hivi hata skaut wa hii timu mbovu ya man utd walishindwa hata kumjua ama kumuona huyu mchezaji

Wanakumbatia mashoga akina rash ford na wapuuzi wengine ...ila mwaka huu lazima akili zikae sawa
Hata angekuja marmush wa city angekuja kuwa takataka tu. Ronaldo alisema shida siyo samaki shida ni aquarium.
 
Screenshot_20250215_205600_Chrome.jpg

Vipi tumrudishe Anthony?
 
BREAKING: Amad could miss the rest of the season with ankle ligament damage suffered in training. He's still being assessed but faces a lengthy layoff. [@ChrisWheelerDM] #mufc
 
BREAKING: Amad could miss the rest of the season with ankle ligament damage suffered in training. He's still being assessed but faces a lengthy layoff. [@ChrisWheelerDM] #mufc
Siyo poa. Dogo anakipaji.
 
Timu imelaniwa aisee ndo basi tenaa mpaka amad dah. Ndo basi Tena msimu ushaisha tunashuka daraja
 
Back
Top Bottom