Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

GGMU
Hii timu sio bure, tumelogwa.
Kuna kipindi ulikuwa unaona tatizo liko kwa beki ila kiungo na washambuliaji wako poa. Ukifix eneo la beki, kiungo kinaonekana dhaifu, ukimalizia kiungo kikae sawa forward inakuwa butu. Ukimaliza na hilo tatizo unakuta beki imechakaa balaa!
Sasa wameona haitoshi wameamua kuloga hadi viongozi na wamiliki wa timu kabisa. Bado mashabiki tu ili timu ipotee mazima.
 
Ni kama vile wachezaji wamemgomea Kocha mapema sana.

Nyakati kama hizi ndipo unapoona umuhimu wa Juma Mgunda.
Kuendekeza wachezaji wanao deka na hawana kiwango hiyo haifai. Utd kwa sasa kwenye swala la nidhamu imeshuka sana, ni kama makocha wamekua wakiwaogopa wachezaji badala ya wachezaji kumuogopa kocha na huu ujinga aliulea sana Ole gonna. Ole alitengeneza timu nzuri sana, kilichomgharimu yeye ni kuwaintertain wachezaji wazembe ambao waliigharimu timu hasa kwenye mechi muhimu kama finali na hao sio wengine ni Rashford, Martial , Pogba na Maguire. Kama Ole angewaondoa hawa watu mapema nadhani angekuwa ndio kocha bora baada ya Ferg. Badala yake akaondoka yeye na kila kocha aliyekuja akawa anakutana na wakati mgumu kwa hawa wachezaji, wengine waliwaondoa wachache wakawabakisha kina Rashford.

Ni juzi tu hapa Amorim alisema atamtumia Rashford kam striker waje ila sasa keshamshindwa. Mimi napendelea hii timu wauzwe wote pale hakuna cha captain wala nani, waje wachezaji wenye kuipenda club.
 
Wadau tunakumbushana tu huenda wengi wao hawalijui hili.
1735835843413.jpg
 
Hivi manjesta serious wameingia kwenye mjadala wa kushuka daraja?😂😂😂
Wanaojadili kushuka daraja timu wote ni vilaza.

Kwa sababu hizi
1. Match played 19 remain 19
2. Man utd points 22 above PD average 1 and 2 consecutively
3. Man united giancy rich club can buy players
4. Man united is aware of FFP


Jadili kwamba timu haitasogolea top 4 and not relegation stupid
 
Kimekuwa na hasira sana nikienda kuona mechi za man utd vibanda umiza kelele mingi yaani kama hasira za kelele ma madeni. Nimelipia dstv 175,000 mech za Januari am home na generator ipo, app za kutazania zipo. I m free man mbowe😛😛
 
Kama crystal palace atamkafua Chelsea kisha na nyinyi mkakafuliwa na liverkuku basi moja kwa moja mtakuwa wa 15, wa nyuma yenu everton ana mchezo mmoja mkononi, inabdi mumuombee apoteze. La sivyo kuna hati hati ndani ya mwezi huu mkawa wa 17.
 
Kama crystal palace atamkafua Chelsea kisha na nyinyi mkakafuliwa na liverkuku basi moja kwa moja mtakuwa wa 15, wa nyuma yenu everton ana mchezo mmoja mkononi, inabdi mumuombee apoteze. La sivyo kuna hati hati ndani ya mwezi huu mkawa wa 17.
Wamalize msimu wakiwa 17. Hiyo itapendeza vizuri tu.
 
Bado nasisitiza ndg zanguni, huwezi ukabeti timu kushuka ikiwa ndio kwanza league iko nusu mzunguko..mamechi kibao yamebaki
 
Wanaojadili kushuka daraja timu wote ni vilaza.

Kwa sababu hizi
1. Match played 19 remain 19
2. Man utd points 22 above PD average 1 and 2 consecutively
3. Man united giancy rich club can buy players
4. Man united is aware of FFP


Jadili kwamba timu haitasogolea top 4 and not relegation stupid
Mkuu si ungeandika tu kwa kiswahili duh hyo inglishi kiboko😅
 
Back
Top Bottom