Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kadri siku zinavyozidi kwenda ili niwe na amani itabidi niache kutizama mpira wa timu yangu hii Man U. Kwa kweli hii siyo Machester United ni man u. Yaani wachezaji wetu ni kama vile mpira wamejifunzia mchangani na ninawasiwasi na uwezo wa ni mdogo sana pengine hata wa kiakili, yaani mchezaji hata kupiga pass hawezi, boli control hakuna, accuracy zero sijui huwa wanasajiliwa kwa vigezo vipi.

Kweli leo United tunacheza na Bournemouth sisi tunakuwa underdog? Hawa wamiliki naona hawako serious. Mchezaji kama Malacia anarukaru tu mule ndani. Huyu kocha kwa hawa wachezaji atadhalilishwa zaidi ETH, kwanza hakuwaleta yeye.

Huwezi ukawa na wachezaji wa timu kubwa ambao hawajiamini na hata chenga moja hawawezi piga. Ingepaswa January hii kocha apewa fangio afagie nyumba, hata Pep Gadiola alipokwenda City alifagia nyumba.
Hyu kocha mlipeni hela yake arudi kule sporting alipokuwepo.....kiukweli mtamzeesha msela wa watu kabla ya muda wake
 
Hii timu inapaswa wafagie kuanzia kipa had striker kuanza upya sio dhambi hawa ni sawa na wanafunzi wenye IQ ndogo hata uwaletee malaika awafundishe hawawez faulu.
Usijali mkuu watabadilika hata Chelsea ilikuwa hivi hivi hahaha.

Kina Saint Anne na uumbwaaa Chaliifrancisco yatabaki kulia balaa.

Nyau de adriz
 
Taratibu tutaingia kwenye mchezo, Bora ufungwe lakini uonekane timu inajaribu kutafuta kitu gani, wachezaji wetu wote walianza chini kabisa, sijui hawakuwa na mood ama vipi. Mmeona Sasa Kuna wachezaji taratibu utawaona hamna kitu lakini kipindi cha ETH walidekezwa...Sasa hivi tutakuwa direct kutafuta wachezaji watakaofaa na huu mfumo, quality unazihesabu Sasa hivi, hii ni ishara nzuri kwetu.
Mmeingia kwenye mchezo au bado tusubiri?
 
Hii timu inapaswa wafagie kuanzia kipa had striker kuanza upya sio dhambi hawa ni sawa na wanafunzi wenye IQ ndogo hata uwaletee malaika awafundishe hawawez faulu.
Tuna wachezaji wawili tu wanaopaswa kuichezea hii timu, ni Amad na Ugarte.

Tangu nimeanza kuishabikia hii timu sijawahi kuona ikiwa na wachezaji wa aina hii. Bora hata ile Manchester ya akina Fellaini.

Beki anakaba kwa macho kuanzia akifika kwenye box ndio anamchapa mtu kiatu we uliona wapi hiyo akili.

Haiwezekani wachezaji wote wanacheza kama wana msongo wa mawazo.😂😂
 
Mashabiki wa utd tuwaombe msamaha makocha wote walipita hapo sio makes yao labda tu kama wao ndio waliohusiku kutuletea hawa wachezaji. Mashibiki inapaswa wagome kwenda uwanjani na kushinikiza timu yote mikatava ivunjwe tusajili upya United inafabase kubwa sana duniani tupo tayari kuchangia hela ya kuvunja mikataba ya hawa ngedere.
 
Celebration of the day
20241222_184346.jpg
 
Back
Top Bottom