Hyu kocha mlipeni hela yake arudi kule sporting alipokuwepo.....kiukweli mtamzeesha msela wa watu kabla ya muda wakeKadri siku zinavyozidi kwenda ili niwe na amani itabidi niache kutizama mpira wa timu yangu hii Man U. Kwa kweli hii siyo Machester United ni man u. Yaani wachezaji wetu ni kama vile mpira wamejifunzia mchangani na ninawasiwasi na uwezo wa ni mdogo sana pengine hata wa kiakili, yaani mchezaji hata kupiga pass hawezi, boli control hakuna, accuracy zero sijui huwa wanasajiliwa kwa vigezo vipi.
Kweli leo United tunacheza na Bournemouth sisi tunakuwa underdog? Hawa wamiliki naona hawako serious. Mchezaji kama Malacia anarukaru tu mule ndani. Huyu kocha kwa hawa wachezaji atadhalilishwa zaidi ETH, kwanza hakuwaleta yeye.
Huwezi ukawa na wachezaji wa timu kubwa ambao hawajiamini na hata chenga moja hawawezi piga. Ingepaswa January hii kocha apewa fangio afagie nyumba, hata Pep Gadiola alipokwenda City alifagia nyumba.
Hahaha adriz wewe ni uumbwaaaNawashukuru sana nyumbuz, tupo pamoja sana
Sasa kipa kafanyaje jamani....mnamuonea tuuTafuteni kipa wa kueleweka
Usijali mkuu watabadilika hata Chelsea ilikuwa hivi hivi hahaha.Hii timu inapaswa wafagie kuanzia kipa had striker kuanza upya sio dhambi hawa ni sawa na wanafunzi wenye IQ ndogo hata uwaletee malaika awafundishe hawawez faulu.
Hahaha yaani wee acha tu.Jiji la Manchester linapitia magumu mno
Mmeingia kwenye mchezo au bado tusubiri?Taratibu tutaingia kwenye mchezo, Bora ufungwe lakini uonekane timu inajaribu kutafuta kitu gani, wachezaji wetu wote walianza chini kabisa, sijui hawakuwa na mood ama vipi. Mmeona Sasa Kuna wachezaji taratibu utawaona hamna kitu lakini kipindi cha ETH walidekezwa...Sasa hivi tutakuwa direct kutafuta wachezaji watakaofaa na huu mfumo, quality unazihesabu Sasa hivi, hii ni ishara nzuri kwetu.
Punda kabisaSielewi mnachoshangilia ni nini 😅😅
Magoli yote yamefungwa kwa miscalculations za kipa wa spurs hakuna goli lililotokana na move wala created chances. Halafu mtu anakwambia sasa hivi tuko vizuri 😅😅
Subirini disappointments punda kabisa
Hii timu inapaswa wafagie kuanzia kipa had striker kuanza upya sio dhambi hawa ni sawa na wanafunzi wenye IQ ndogo hata uwaletee malaika awafundishe hawawez faulu.
Mkimda mnatupigia kelele kuwa mmeanza ligi.Hii timu inapaswa wafagie kuanzia kipa had striker kuanza upya sio dhambi hawa ni sawa na wanafunzi wenye IQ ndogo hata uwaletee malaika awafundishe hawawez faulu.