Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wala sihuzuniki kabisa, Bora unaona makapi ni yapi na vipi unaweza kuyaondoa. Haya ni mchanganyiko wa mazao ya recruitment mbovu, maamuzi mabovu (Kwa baadhi ya wachezaji), kocha anajaribu kutoa muda Kwa wachezaji wote Ili basi Kila mmoja aoneshe alichonacho.

Nusu ya magoli tuliyofungwa ni ya set pieces, mengi ya haya magoli ni wachezaji wenyewe kushindwa kufanya marking, awareness ya mchezaji binafsi mfano goli la Leo si suala la kocha kukufundisha ni mchezaji mwenyewe tu ameshindwa kujitambua afanye Nini, ni kama mtu mzima kufundishwa kuchamba kitu ambacho anatakiwa awe anajua automatically.

Mafuta na maji yataanza kujitenga, nilishasema Kuna wachezaji utaona wanaanza kujitoa taratibu, performance zao utaona zitaanza kukukera na hapo ndipo utaona uhitaji wa wachezaji "PUNDA" wenye akili na si wapaka poda.

Nasemaje Bora tufungwe lakini at least tuone kocha anajaribu kuanza kutafuta kitu gani. Sisi si timu ya kuwa na kocha zaidi ya misimu mitano kama timu Fulani halafu tuishiwe kusifiwa tu pira mchuzi sijui Haram football, hivyo wachezaji lazima watambue hili.
 
Tatu kavu. Watu hawana huruma halafu kaliwa geto kwake
 

Attachments

  • Screenshot_20241106_160101_Instagram.jpg
    Screenshot_20241106_160101_Instagram.jpg
    45.2 KB · Views: 17
Huyu kocha wenu mjuaji sana ,halafu hajui hii EPL ,msingi physicality

Unamtoa Tinga Tinga Ugate ,unaacha pale kati

Mauno na Dibra Fernandez,hiyo kombo ni laini kama chapati za maji

Na hapo ndipo Iraiola akaongeza mtu mmoja anaitwa COOK ,

NYUMBU O B.MOUTH 3
 
Bora tapeli ETH alikuwa anabahatisha anaokota points ,akifika kwenye Carabao au FA cup alikuwa anaweka mziki wote

Huyo Tapeli Mourine ,analeta mambo ya Style of play, 3-4-3, double pivot, inverted winger kwa wachezaji Hawa kina Anthony Santos makudubela,Mauno ,Dibra Fernandez, Zaka zakazi Joshua mutale ,

Atachezea vipigo sana tu

Manjesta inatakiwa icheze ovyo ovyo ,papatupapatu ,imepigwa ndefu na Dibra Fernandez,Rashidi makame goal ,mechi imeisha
 
Nimepata taarifa hapa , wachezaji wa Manjesta wanakuja kwa Tapeli Bushiri kuombewa
 
Back
Top Bottom