Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sielewi mnachoshangilia ni nini 😅😅

Magoli yote yamefungwa kwa miscalculations za kipa wa spurs hakuna goli lililotokana na move wala created chances. Halafu mtu anakwambia sasa hivi tuko vizuri 😅😅

Subirini disappointments punda kabisa
 
Sielewi mnachoshangilia ni nini 😅😅

Magoli yote yamefungwa kwa miscalculations za kipa wa spurs hakuna goli lililotokana na move wala created chances. Halafu mtu anakwambia sasa hivi tuko vizuri 😅😅

Subirini disappointments punda kabisa
Ndio maana wanaitwa manyumbu, watu wasiojua mpira ndio watA shangilia yale magoli. Kwa yale magoli waliofunga hawana timu na hakuna improvements zote zote pale.
 
Tafuteni makipa wa kueleweka, Onana mumuuze, ganacho na rashfod, dalot, wote hao muwauze na Antony piga bei. Yule Amad Dialo hakuna mchezaji mule anapita na upepo tu na ni swala la muda mtakuja kushituka
 
Tafuteni makipa wa kueleweka, Onana mumuuze, ganacho na rashfod, dalot, wote hao muwauze na Antony piga bei. Yule Amad Dialo hakuna mchezaji mule anapita na upepo tu na ni swala la muda mtakuja kushituka
tuanze na nunez
 
Tafuteni makipa wa kueleweka, Onana mumuuze, ganacho na rashfod, dalot, wote hao muwauze na Antony piga bei. Yule Amad Dialo hakuna mchezaji mule anapita na upepo tu na ni swala la muda mtakuja kushituka
Kuna banda umiza moja huku mashabiki wa nyumbu wanamuita messi mweusi dah ...messi mwenyewe akisikia sijui atajisikiaje🤣
 
Mnawajua bunamus nyie shetwan,🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Leo nitakuwa naenda kuchekea chooni 🤣🤣

Bunamus 4-2 shetwan
 
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Manchester United 3 vs Bournemouth 1

Tutapiga kama ngoma leo
1734872353899.jpg
 
Ni mwendo wa side pass and back passes, hakuna jipya hapa.
 
Back
Top Bottom