Ukitoka hapa ukawakumbushe na boko haramu football..wazee wa kona goli arse8...watuongezee hela kidogo kwa havertz streka la boli..mi nimewaambia sana naona hawataki kusikiaWazee tuongezeni angalau pesa kidogo kwa Mount mashine ya Kazi. Acheni ubahili basi
darwin nunez futboliMme cheza mpira mbovu Sijawai Kuona.
View attachment 3176456
Jamaa amekuja kipindi kibaya sana, kila baada ya siku mbili ni mechi.