Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama mashabiki wa arsenal, Ten hag bado tunamuhitaji Sana
 
Tufocus na mechi inayofata

Jumapili, tar 06

Muda 1700

Venue OT

MANCHESTER VS BARNSLEY

I SAY TUNASHINDA 9-0
 
Kwasasa kuwacheka manyuu ni kuwaonea tu. Kwanza hatuhitaji comedy uwanjani,wao wanachofanya ni comedy zile
 
Mm nimeipenda....na mechi Yao ya Aston villa naomba apate draw au ashinde kabisa Ili ten hag aendelee kuwepo....napenda sana kufatilia press conference zake mzee yule
Aisee...wampe mkataba mpaka 2044 tuwe tuna uhakika wa 6 points kutoka kwao kwa miaka 20 mfululizo
 
Kabisa mkuu....mechi na Aston villa wakimuhoji atakuambia ila lile goli la garnacho alilowafunga arsenal lilikuwa halali...haikuwa offside kabisa🤠🤠🤠
Kweli kabisa ni uhakika atasema hivyo maana haishi kutuwaza. Acha washinde hata 2-1( muhimu onana asipate clean sheet) tumsikie atasemaje kwa press na muhimu zaidi asifukuzwe kazi wakamleta mnyama kama Zidane
 
Kweli kabisa ni uhakika atasema hivyo maana haishi kutuwaza. Acha washinde hata 2-1( muhimu onana asipate clean sheet) tumsikie atasemaje kwa press na muhimu zaidi asifukuzwe kazi wakamleta mnyama kama Zidane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…