Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwenye return leg itakuwa hivi Bayern Out, Barca Out

Semi Final Man Utd against Atletico Madrid

All the way to the final against PSG

Hapo ninajua unajua matokeo yatakuwaje

Yeah tutaona. wanasema mpira haudanganyi.
 
What??? labda cloned RVP. Huyu refa wa Spain lazima atakuwa Real Madrid fan au Barcelona fan mwenye machungu na Pep. Kwa nini hakumpa Valencia second Yellow kwa just reaction ya kindava-ndava? Anyway, bado mna nafasi lakini kazi ni nzito.
Hehehehe Rubaman nimeamini huwapendi United, Munich Boring Kama United wangepasua kati vizuri wangefungwa Lahm si wakucheza kati Yule ni kulia anapanda then Javier Martinez ndio angekaa kati, Welbeck ndio alipoteza nafasi alifikiria kipa ni Taibi na yeye ni Naymar, Dondonald Leo utabiri bado nusu nipatie United kufunga kwa Kona Sema hawajashinda Kama Munich watakuwa magoli wanataka kufunga mpaka ndani ya 2yard wasahau kufumfunga United Rooney alikuwa Middle sana. Belo chakula kitapita sasa Nzi yeye hata uchafu anakula? hongera United mmejitahidi au mumewaweza Munich.
 
rubaman

Refa wa leo lazima atakuwa ni mfurukutwa wa Nou Camp
 
Last edited by a moderator:
Kwenye return leg itakuwa hivi Bayern Out, Barca Out

Semi Final Man Utd against Atletico Madrid

All the way to the final against PSG

Hapo ninajua unajua matokeo yatakuwaje
. hehehehe sawa Sheikh Yahya amekuwachia kazi naona watu Wana save maandishi hehehehe. Usije ukatizama Final unashangilia PSG au Atletico tu.
 
What??? labda cloned RVP. Huyu refa wa Spain lazima atakuwa Real Madrid fan au Barcelona fan mwenye machungu na Pep. Kwa nini hakumpa Valencia second Yellow kwa just reaction ya kindava-ndava? Anyway, bado mna nafasi lakini kazi ni nzito.

Ile ilikuwa 50/50 uliangalia reply wachezaji wa Bayern walitaka kumdanganya refa,refa wa leo amechezesha vizuri
 
v2 kma vya welbeck ndo huwa vinanifanya niamini kuwa messi ni mchezaj bora wa dunia wa wakat wote....lile goli la wazi kabisa

eti alijiona messi nae anataka kuchop dah ametucost kweli,ila so far alicheza vizuri kwenye kukaba na mashambulizi ya kushtukiza.
 
Hehehehe Rubaman nimeamini huwapendi United, Munich Boring Kama United wangepasua kati vizuri wangefungwa Lahm si wakucheza kati Yule ni kulia anapanda then Javier Martinez ndio angekaa kati, Welbeck ndio alipoteza nafasi alifikiria kipa ni Taibi na yeye ni Naymar, Dondonald Leo utabiri bado nusu nipatie United kufunga kwa Kona Sema hawajashinda Kama Munich watakuwa magoli wanataka kufunga mpaka ndani ya 2yard wasahau kufumfunga United Rooney alikuwa Middle sana. Belo chakula kitapita sasa Nzi yeye hata uchafu anakula? hongera United mmejitahidi au mumewaweza Munich.

Ha Ha Ha Mzee wa kubet williamhill kakulia mkwanja wako

Mpira wao wa gonga/kupasiana huwaga hautusumbui [wawaulize Arsenal], Chicharito lazima atakuwa Man of the match kwenye mechi ya marudiano.

Refa na Welbeck wamesababisha tusitoke na ushindi leo.
 
sijapata ona timu mbovu kama hii 80% ya mpira wote umechezewa eneo la penalt la man u. wanashindwa kufunga hata goli moja? sijui arsenal alitolewaje kirahisi na hawa wabovu hivi.

so far man u wameweza kuchea kitimu katika kukaba na kukaa njiani inaonekana bayern hawakuwa na plan b walitegemea robben na ribery wasumbue matokeo yake ribery aliuliwa kabisa na robben ndo alikuwa msumbufu kwa man u so credit should go to man u players
 
. hehehehe sawa Sheikh Yahya amekuwachia kazi naona watu Wana save maandishi hehehehe. Usije ukatizama Final unashangilia PSG au Atletico tu.

Mechi za kesho unatabili vipi?

Sasa kwani wewe huoni kama barca safari ndio imeshafika kikomo?
 
Give the credit where it's due. Guys in the Madchester back line were outstanding throughout the game. Congrats Madchester
 
HATERS thats how champions play......wale mliokuwa mnasema man utd watapigwa 6,7,8 etc mko wapi? ndio kwanza half time,next week tunamalizia tunaenda munich kujiexpress wakati bayern watakuwa hawajitambui walinde au washambulie

teh teh teh hali mbaya PEP...
Man-Utd-v-Bayern-Munich-010.jpg


more upbeat...
Man-Utd-v-Bayern-Munich-012.jpg


harshly disallowed...
Manchester-United-v-FC-Ba-004.jpg


good boy....well done
Man-Utd-v-Bayern-Munich-019.jpg


trying to be MESSI and ended up MESSY....should have a brace
Man-Utd-v-Bayern-Munich-021.jpg
 
Ha Ha Ha Mzee wa kubet williamhill kakulia mkwanja wako

Mpira wao wa gonga/kupasiana huwaga hautusumbui [wawaulize Arsenal], Chicharito lazima atakuwa Man of the match kwenye mechi ya marudiano.

Refa na Welbeck wamesababisha tusitoke na ushindi leo.
. Hehehehe siku hizi Bet hawanioni tena wamekuwa sana pesa zangu ila ukitaka week hii pesa nzuri Arsenal,Man United na Swansea zote Away weka pesa ya juu utapata pesa yako. Ukikosa usinilaumu hehehehe.
 
...leo mtaipata...sasa ndio mtamfukuzia moyes mlango wa nyuma....leo mnapigwa 10-0.....hamna mpira wa kumzuia robben...na wale mabeki wenu leo robben anatengeneza penalt tatu peke yake...hayo yalikuwa maneno ya nyumba za jirani Man city na Arsenal kwa kuweza kudroo mi naona kama tumepiga mpira sanaaa. next week Robben tunampa Jones aendelee kummiliki kama leo alivyofanya.kulia rafayeli kushoto evura ni hatari sana.
.....hehhehh,
Kaka mbona unaanza kejeli tena ilhali ndio kwanza upo kati ya mto?

It' was only a tactical game, Bayern walikuja kwa Draw au ushindi...
Huko kwao itakuwa One Way traffic... Na msiombee mpate Refa mbaya...

#Nilikuwepo !


#MosKwito !
 
come on Fellaini.........!!!
Man-Utd-v-Bayern-Munich-007.jpg


wayne on defensive duties
Man-Utd-v-Bayern-Munich-022.jpg


no way...
Man-Utd-v-Bayern-Munich-024.jpg
 
what a header from the captain.....1-0
Manchester-United-v-FC-Ba-015.jpg


yeaeeeeaaaaahhhhhhhhhh!!!!!!!
Man-Utd-v-Bayern-Munich-013.jpg


off you go mate!!!!
Man-Utd-v-Bayern-Munich-018.jpg


please ref give us one pen......
Man-Utd-v-Bayern-Munich-023.jpg
Final score: 1-1" height="480" width="727">
 
Back
Top Bottom