tunarahisishiwa kazi next week watu wawili watamiss hilo game. Martinez na Schwenzteiger
Tunao hawa mechi ya marudiano.
GGMU.
vidume hatujakubali kupigwa nyumbani sisi sio arsenal bana. Tunawaendea kwao Jumatano tukiwa full na 'hat trick boy' Van persieeeee.
vidume hatujakubali kupigwa nyumbani sisi sio arsenal bana. Tunawaendea kwao Jumatano tukiwa full na 'hat trick boy' Van persieeeee.
Sio 'waziri mkuu' mngeshinda leo afadhali lkn goli la ugenini nliloruhusu limewapa nguvu sana. 7lona gemu imeishaje wadau?
What??? labda cloned RVP. Huyu refa wa Spain lazima atakuwa Real Madrid fan au Barcelona fan mwenye machungu na Pep. Kwa nini hakumpa Valencia second Yellow kwa just reaction ya kindava-ndava? Anyway, bado mna nafasi lakini kazi ni nzito.